Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,750
Rukwa nadhani branch ya mufindi itakuwa karibu na wewe. Safi sana umeamua kufuatilia hizi mashine kwa undani. Usikose kutembelea maonesho yajayo ya 88 mbeya, moro au Arusha kuna mashine nyingi sana na bei zake ni za kawaida sana tofauti wengi wanavyofikiri. Ukiwa na hii mashine unaajiri mtu mmoja tu na kumpa mafuta badala ya kumlipa elfu 40 kwa acre unamlipa 10 tu, unajikuta Kama una shamba acre 30 ndani ya miezi 3 mashine imeshajinunuaNiwape mfano: utaona lazima udongo uwe tifu tifu. Ni ya kupalilia si ya kulima shamba mpya
Sent using Jamii Forums mobile app