nao
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 1,832
- 1,943
Kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi kumekuwa na mvua ambazo hazitoshelezi, imepelekea niwaze kuingia kwenye kilimo cha umwagiliaji wa pampu ya solar japo nimeshafanya huko nyuma kwa kutumia petrol.
Sasa naomba kwa mwenye uzoefu na hizi pampu ufanyaji kazi wake uko vizuri? Nisaidieni wenye uzoefu kabla sijawekeza huko?
Sasa naomba kwa mwenye uzoefu na hizi pampu ufanyaji kazi wake uko vizuri? Nisaidieni wenye uzoefu kabla sijawekeza huko?