Naomba kujuzwa kuhusu kupalilia Mahindi kwa kutumia viuatilifu

Wakuu Narubongo na Daisy Llilies nisiwahangaishe nadhani ni hawa LonAgro-Official Dealer of John Deere,BELL,STIHL,Rovic Leers and Fieldking nitawatafuta wapo Dar

LonAgro Tanzania Ltd - Dar Es Salaam

Plot 48B, Ursino street,
Regent Estate,
Dar es Salaam,
Telephone: +255 656 227 522
Fax: +255 22 2772776
Email: info@lonagro.com

Mikoani

LonAgro Tanzania Ltd - Iringa

Kisolanza,
Ihemi village,
Iringa,
Telephone:+255 78 774 5881
Email: salema.kileo@lonagro.com

Google Map of Iringa, Tanzania
LonAgro Tanzania Ltd - Mwanza

Musoma Road,
Mwanza,
Telephone: +255 784246688
Email: ally.mgonde@lonagro.com

Google Map of Mwanza, Tanzania
LonAgro Tanzania Ltd - Arusha

Oljoro Plantations, Farm 2
Oljoro,
Arusha,
Telephone: +255 788 233 980
Email: ray.travas@lonagro.com

Google Map of Arusha, Tanzania
LonAgro Tanzania Ltd - Morogoro

Plot No.5 & 6
Mtawala Area,
Morogoro Municipality,
Morogoro
Telephone:+255 65 370 6663
Email: eva.linza@lonagro.com

Google Map of Morogoro, Tanzania
Mungu akubark sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ya kwanza ni kupalilia/kutifua, ya pili ni kubwa kufyeka na tatu ni ndogo kufyeka. Hapo inakuja na motor 2 za kufyekea Kama unavyoziona #1 inatumia kisu (Kama feni) #2 inatumia waya. Ikiharibika spare wanazo
Hizi pia zinatumika sana kukata mpunga, za kiChina zipo na bei ni sawa na hizi Germany lkn za China ni mayai mayai sana
IMG_20190808_173027.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ya kwanza ni kupalilia/kutifua, ya pili ni kubwa kufyeka na tatu ni ndogo kufyeka. Hapo inakuja na motor 2 za kufyekea Kama unavyoziona #1 inatumia kisu (Kama feni) #2 inatumia waya. Ikiharibika spare wanazo
Hizi pia zinatumika sana kukata mpunga, za kiChina zipo na bei ni sawa na hizi Germany lkn za China ni mayai mayai sanaView attachment 1338879

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu inaweza kutifua hata Kama shamba halijawahi kulimwa na tractor??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasemekana haya madude ndo yameleta mnyauko(kansa ya migomba) kwa wilaya ya Ngara. Leo muhangaza anakosa ndizi ya kula analazimika kula ugali msosi ulioaminika kuwa chakula cha wenye maafa ya njaa na maskini
 
Kusemekana ndiyo nini ongea vitu vya kueleweka mahusiano Kati ya jembe na huo ugonjwa
Inasemekana haya madude ndo yameleta mnyauko(kansa ya migomba) kwa wilaya ya Ngara. Leo muhangaza anakosa ndizi ya kula analazimika kula ugali msosi ulioaminika kuwa chakula cha wenye maafa ya njaa na maskini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau naomba kupata uzoefu wenu katika kilimo cha mahindi kwa wakulima hususan wenye hekal chahe,
Hivi kwa hali ya kawaida hekali moja inatakiwa kutoa gunia ngap za mahindi.

Coz mwaka juzi niliwahi kusimamia shamba la ndg angu, ambaye alilima hekali 4, kwa mbegu zile ''seedco" +mbolea ya samadi, lakin mwisho wa siku 2kapata gunia 16 hiv kamil na debe chache.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom