Naomba kujuzwa kuhusu Mitsubishi Outlander PHEV

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,088
21,561
Wakuu,

Kuna gari Aina ya mitsubishi outlander PHEV, ni gari ambayo nimeipenda kwakua ni SUV yenye muonekano mzuri Ila kikubwa ilichonivutia ni kwamba hii gari ni Hybrid, kwamba unaweza ukatumia mafuta au umeme.

Sasa swali langu moja kwa moja ni kwamba je, kwa hapa Tanzania hii gari kwenye swala la kuchaji, unaweza ukatumia power outlets za nyumbani kulichaji?

Maana nimejaribu kuangalia kwenye nchi za wenzetu kuna special power docking station maalum kwaajili ya kuchajia haya magari. Nawasilisha!

Screenshot_2024-01-29-10-13-46-353_com.android.chrome.jpg
 
Mkuu umejijibu mwenyewe hapo mwisho mbona!!!

Kuchaji haya magari mpaka kuwe na stations, ingekua unaweza kutumia appliances za nyumbani hata wao wasingeweka power stations.

Hizi za kuchajia nyumbani haziko salama na kuna nchi imezipiga Marufuku, imagine mzungu anapiga Marufuku alafu we waza na umeme wetu wa bongo unavyozingua

Alafu sheikh hizi za kuchajia nyumbani mpaka gari ijae inaweza chukua siku hata 4, ukiweka na umeme wetu wa kubahatisha utachaji gari wiki 2 ndo lijae
 
Hata nyumbani unaweza kuchajia, tofauti ni kuwa, super charger (kucharge kwa haraka, ndani ya nusu saa tu iwe full charge kuweza kutembea labda zaidi ya 120km) ni mpaka kwenye hizo special power charging station ambapo kwa Tz ni chache sana tena kwenye mikoa michache.
 
Wakuu,

Kuna gari Aina ya mitsubishi outlander PHEV, ni gari ambayo nimeipenda kwakua ni SUV yenye muonekano mzuri Ila kikubwa ilichonivutia ni kwamba hii gari ni Hybrid, kwamba unaweza ukatumia mafuta au umeme.

Sasa swali langu moja kwa moja ni kwamba je, kwa hapa Tanzania hii gari kwenye swala la kuchaji, unaweza ukatumia power outlets za nyumbani kulichaji?

Maana nimejaribu kuangalia kwenye nchi za wenzetu kuna special power docking station maalum kwaajili ya kuchajia haya magari. Nawasilisha!

View attachment 2988315
Hii gari ina level 2 za kuicharge
1. Level-1(Fast Charging port) hii unaitumia kwenye vituo special vya kuchani hizi gari na utatumia dakika 30 tu na gari ina kuwa full charged
2. Level-2 (Domestic Charging port) hii unatumia nyumbani kwako wakati ume-park gari lako, charger yake huwa inakuja na gari hivyo ni kiasi cha wewe kutengeneza socket outlet special inayoendana na hii adoptor inayokuja na gari. Njia hii inachukua masaa mpaka 8 ndio battery inakuwa fully charged.
Lakini kaa ukinua gari hii pia ina option ya kujicharge wakati unaendesha unaitwa REGENERATIVE BRAKING na speed ya kucharge inakuwa ya taratibu maana inafanya kazi ukiwa una brake hasa maeneo ya mjini ambapo kunakuwa na foleni kubwa.
NOTE: Hizi gari electric range yake ikiwa fully charged ni km 52 tu pia suala to joto hufanya level ya battery kuporomoka kwa kiwango kikubwa sana. Pia mode hii ya electric inafaa tu maeneo ya mjini maana highway kama utakuwa speed zaidi ya 60km/hr basi hu-swich kwenda kwenye normal internal combustion engine.
 
Hata nyumbani unaweza kuchajia, tofauti ni kuwa, super charger (kucharge kwa haraka, ndani ya nusu saa tu iwe full charge kuweza kutembea labda zaidi ya 120km) ni mpaka kwenye hizo special power charging station ambapo kwa Tz ni chache sana tena kwenye mikoa michache.
Shukrani mkuu
 
Hii gari ina level 2 za kuicharge
1. Level-1(Fast Charging port) hii unaitumia kwenye vituo special vya kuchani hizi gari na utatumia dakika 30 tu na gari ina kuwa full charged
2. Level-2 (Domestic Charging port) hii unatumia nyumbani kwako wakati ume-park gari lako, charger yake huwa inakuja na gari hivyo ni kiasi cha wewe kutengeneza socket outlet special inayoendana na hii adoptor inayokuja na gari. Njia hii inachukua masaa mpaka 8 ndio battery inakuwa fully charged.
Lakini kaa ukinua gari hii pia ina option ya kujicharge wakati unaendesha unaitwa REGENERATIVE BRAKING na speed ya kucharge inakuwa ya taratibu maana inafanya kazi ukiwa una brake hasa maeneo ya mjini ambapo kunakuwa na foleni kubwa.
NOTE: Hizi gari electric range yake ikiwa fully charged ni km 52 tu pia suala to joto hufanya level ya battery kuporomoka kwa kiwango kikubwa sana. Pia mode hii ya electric inafaa tu maeneo ya mjini maana highway kama utakuwa speed zaidi ya 60km/hr basi hu-swich kwenda kwenye normal internal combustion engine.
Asante Sana mkuu nimekuelewa vyema kabisa
 
Badala ya plug in hybrid basi tafute zile za kujichaji kwa wakati unatumia injini ya mafuta kiotomati.....

Nadhani hii inakuwa chaguo bora kwa mazingira yetu ambayo kwa sasa unaweza kuhitaji majenereta kupata umeme. Sa si bora ukachajia gari ndani kwa ndani. Lakini hali itakapobadilika maybe maana tunaambiwa kila siku kwamba tunao uwezo wa kuzalisha umeme mwingi kuliko mahitaji.
 
Na hii Gar mpaka kuimilik nikmaansha kila ktu kutia ndan kaisar wetu ina kias gan?
 
Wakuu,

Kuna gari Aina ya mitsubishi outlander PHEV, ni gari ambayo nimeipenda kwakua ni SUV yenye muonekano mzuri Ila kikubwa ilichonivutia ni kwamba hii gari ni Hybrid, kwamba unaweza ukatumia mafuta au umeme.

Sasa swali langu moja kwa moja ni kwamba je, kwa hapa Tanzania hii gari kwenye swala la kuchaji, unaweza ukatumia power outlets za nyumbani kulichaji?

Maana nimejaribu kuangalia kwenye nchi za wenzetu kuna special power docking station maalum kwaajili ya kuchajia haya magari. Nawasilisha!

View attachment 2988315
Soko la EVs linaanguka huko marekani mauzo yanashuka. Watu wameanza nunua hybrids ambazo hazichajiwi yani zile mfano wa toyota prius ndizo watu wanapenda sasa hivi. Kama wataka hybrid nashauri tafuta ile isiyochajiwa mkuu na gari nzuri sana.
 
Soko la EVs linaanguka huko marekani mauzo yanashuka. Watu wameanza nunua hybrids ambazo hazichajiwi yani zile mfano wa toyota prius ndizo watu wanapenda sasa hivi. Kama wataka hybrid nashauri tafuta ile isiyochajiwa mkuu na gari nzuri sana.
Nashukuru sana mkuu, umenipa kitu kipya
 
Badala ya plug in hybrid basi tafute zile za kujichaji kwa wakati unatumia injini ya mafuta kiotomati.....

Nadhani hii inakuwa chaguo bora kwa mazingira yetu ambayo kwa sasa unaweza kuhitaji majenereta kupata umeme. Sa si bora ukachajia gari ndani kwa ndani. Lakini hali itakapobadilika maybe maana tunaambiwa kila siku kwamba tunao uwezo wa kuzalisha umeme mwingi kuliko mahitaji.
Asante mkuu
 
Soko la EVs linaanguka huko marekani mauzo yanashuka. Watu wameanza nunua hybrids ambazo hazichajiwi yani zile mfano wa toyota prius ndizo watu wanapenda sasa hivi. Kama wataka hybrid nashauri tafuta ile isiyochajiwa mkuu na gari nzuri sana.
Kwa nini wananunua zaidi hybrids kuliko EVs wakati EVs ndio current technology?
 
Kwa nini wananunua zaidi hybrids kuliko EVs wakati EVs ndio current technology?
1. Charging stations zinazingua unaambiwa mtu anafika kwenye charging station unakuta foleni au chargrr moja ndo ianfanya. Zile za kuchajia home si reliable.
2. Muda wa kusubiri though kuna fast charging tech now ndani ya nusu saa gari inaweza fika hadi 80% ila kutoka 80% to 100 it takes time wakat gasoline unaweka ndani ya dakika 1 tank limejaa.
3. Kutokana na uhaba wa charging station watu kuendesha wakiwa na wasiwasi
4. Batry ikiharibika gharama kuibadilisha ni kubwa sana.

So hybrids ambazo toyota amekuwa akizipush ndio imekuwa option maana hakuna masuala ya kucharge halafu zinakupa matumizi poa sana kwa mafta
Kwa nini wananunua zaidi hybrids kuliko EVs wakati EVs ndio current technology?
 
1. Charging stations zinazingua unaambiwa mtu anafika kwenye charging station unakuta foleni au chargrr moja ndo ianfanya. Zile za kuchajia home si reliable.
2. Muda wa kusubiri though kuna fast charging tech now ndani ya nusu saa gari inaweza fika hadi 80% ila kutoka 80% to 100 it takes time wakat gasoline unaweka ndani ya dakika 1 tank limejaa.
3. Kutokana na uhaba wa charging station watu kuendesha wakiwa na wasiwasi
4. Batry ikiharibika gharama kuibadilisha ni kubwa sana.

So hybrids ambazo toyota amekuwa akizipush ndio imekuwa option maana hakuna masuala ya kucharge halafu zinakupa matumizi poa sana kwa mafta
Kwa maana hiyo gasoline bado tunae sana.
Sema watu wanaongea sana kuhusu EVs ila hata wazungu hawana shobo nazo kivile. Bado wanadunda na gasoline sana tu. Labda US ila ulaya bado yanayotumia gasoline ni mengi mno.
 
Kwa maana hiyo gasoline bado tunae sana.
Sema watu wanaongea sana kuhusu EVs ila hata wazungu hawana shobo nazo kivile. Bado wanadunda na gasoline sana tu. Labda US ila ulaya bado yanayotumia gasoline ni mengi mno.
US waliweka sheria kwa car dealers nadhani kufikia mwakanai 40% ya magari wanayouza yawe EVs, kuna nchi ya scandinavia yenyewe nadhan inataka kwenda full EV lakini ajabu ni kwamba mauzo yake kwa mara ya kwanza yameshuka huko US wakati hybrid mauzo yakipanda.
 
Back
Top Bottom