donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
Salam wakuu,
Niende straight kwenye mada. Nina mpango wa ku-upgrade gari kutoka hii ninayotumia sasa hivi (saloon car) kwenda kwenye SUV. Gari ambayo ninailenga ni Mitsubishi Outlander PHEV (Plug In Hybrid Electric Vehicle).
Kutokana na gharama za mafuta kupanda nimeona hii itanifaa kwani kuna option ya kutumia both umeme na mafuta.
Naomba wajuzi wa magari, muweze kunipa mawili matatu kuhusu hii gari.
Asanteni
Niende straight kwenye mada. Nina mpango wa ku-upgrade gari kutoka hii ninayotumia sasa hivi (saloon car) kwenda kwenye SUV. Gari ambayo ninailenga ni Mitsubishi Outlander PHEV (Plug In Hybrid Electric Vehicle).
Kutokana na gharama za mafuta kupanda nimeona hii itanifaa kwani kuna option ya kutumia both umeme na mafuta.
Naomba wajuzi wa magari, muweze kunipa mawili matatu kuhusu hii gari.
Asanteni