Ngai Moko
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 1,238
- 1,616
Uchawi upo,Kununua Tecno ya laki 8 Bora ninunue iPhone 6 plain
Uchawi upo,Kununua Tecno ya laki 8 Bora ninunue iPhone 6 plain
Nyinyi maskini na nani?Sorry kwa kutoka nje ya mada ndugu, ivi hizi Samsung series kati ya
A
J
M
S
Note
Ipi ni bora zaidi na yenye betri inayofaa kwa sisi masikini?
Ndio mkuu.Njia rahisi mkuu ni kufuatilia habari za vitu vinapotokea.
Mfano.
1. Sony walitangaza sensor yao mpya ya 50MP ambayo itatumika kwenye flagship, hivyo unaanza kuona simu kibao zinatumia.
2. Samsung Wana display mpya za LTPO Amoled simu zote mpya za kisasa zinatumia,
3.umoja wa usb umetangaza usb type C itapitisha umeme hadi watts 240
4. Samsung katangaza ram za lpddr5
5. Storage Mpya za ufs 3.1 etc.
Hivyo unapo kuwa na habari za vitu vinapotokea wewe Uta judge sasa kama hii simu imepack feature zote za kisasa?
Mfano hii phantom X, ina flagship camera 50mp, ina maana imetick kwenye camera lakini soc sio flagship material, haina ddr5, fast charging ya kawaida, haina ltpo display etc.
Na njia nyengine ni kuangalia reviews online, toka website maarufu.
Wanajua watu gani wanawatarget, there is a reason kwanini wanauza Africa na Sio USA ama Japan ama ulaya etc.Ndio mkuu.
Tunajua hata samsung hawawezi kutupa kila kitu halafu wakatuuzia 1.1ml simu yao,hii haipo.
Swali langu ni moja tu,naona kama jamaa kweli wametunisha misuli,kitendo cha kuchukua processor hiyo ya kisanii,ni dalili ya wizi au ni ushamba??
Maana kwa mujibu wa maelezo yako kwingine ni kwamba kuna MTK ni poa tu,
Lile jina,layout na milio yake tu.vinafanya ndani ya wiki uanze kujutia maamuzi uliyofanya.Kwa bei hiyo Niache kununua samsung a52 ninunue tecno nitakua nimelogwa.
Kumbe hadi slow mo haina...price 1.1M...what a pathetic move!Camera yake ni flagship level nafkiri pixel 6 pia itakuwa na same camera pia ina display kali ya super Amoled naona wamejitutumua Waka chukua Display kwa Samsung.
Tatizo la Tecno wanalipua, huwezi ukaweka flagship camera na soc ya kijinga kama Helio G95, hii soc ni midrange haina akili (isp) ya kurun hio camera.
Pia camera haina vikorombwezo vingine vya kuifanya iwe nzuri zaidi kama flagship nyengine. Mfano haina OIS, haina slow MO, optical zoom na tech zifananiazo etc. Hivyo wametumia tu sensor nzuri ila result za kawaida.
Review yake ipo gsmarena unaweza kuisoma
Tecno Phantom X review
Tecno is one of the brands that the Chinese phone manufacturer Transsion is using for its oversee markets - and most prominently, in Africa. The...m.gsmarena.com
Page ya review ya camera
Tecno Phantom X review
The main 50MP camera is the Phantom X's crown jewel. We've reviewed this Samsung S5KGN1 imager before in the much more expensive vivo X60 Pro+. It's one...m.gsmarena.com
Mambo ya wereva hayo,niKumbe hadi slow mo haina...price 1.1M...what a pathetic move!
X3 pro Ina perfomance kubwa kushinda simu yoyote kwa price point hii, kama wewe ni gamer ama unatumia apps nzito ni simu nzuri sana.Chief simu zuri kati poco x3 pro vs redmin note 10 pro kwa budget ya 500k ni ip?
Naona kenya hazipishani bei.
Sent from my M2010J19SG using JamiiForums mobile app
X3 pro Ina perfomance kubwa kushinda simu yoyote kwa price point hii, kama wewe ni gamer ama unatumia apps nzito ni simu nzuri sana.
Weakness ya x3 pro sio all a rounder, camera ya kawaida sana, haina Amoled display, etc, hapa ndio inakuja Redmi note 10 pro, hii ni all a rounder hupati perfomance kama x3 pro ila utapata display kali, camera nzuri, etc.
Hivyo Matumizi ya kawaida chukua Note 10 pro, matumizi makubwam,
Nimekuelewa chief kama kuchukua note 10 pro pale kenya wanauza laki 570000 hela ya kitanzania je inareason kwa hela hiyo?X3 pro Ina perfomance kubwa kushinda simu yoyote kwa price point hii, kama wewe ni gamer ama unatumia apps nzito ni simu nzuri sana.
Weakness ya x3 pro sio all a rounder, camera ya kawaida sana, haina Amoled display, etc, hapa ndio inakuja Redmi note 10 pro, hii ni all a rounder hupati perfomance kama x3 pro ila utapata display kali, camera nzuri, etc.
Hivyo Matumizi ya kawaida chukua Note 10 pro, matumizi makubwa x3 pro.
Nimekuelewa chief kama kuchukua note 10 pro pale kenya wanauza laki 570000 hela ya kitanzania je inareason kwa hela hiyo?
ntagira ni bei reasonableMm sio Chief sema bei ni reasonable ndio bei zake
Na ukaaji wa charge ikiwa inatumika zaidi ya masaa 6 on browsing wakati wte huo itamaliza siku na charge??X3 pro Ina perfomance kubwa kushinda simu yoyote kwa price point hii, kama wewe ni gamer ama unatumia apps nzito ni simu nzuri sana.
Weakness ya x3 pro sio all a rounder, camera ya kawaida sana, haina Amoled display, etc, hapa ndio inakuja Redmi note 10 pro, hii ni all a rounder hupati perfomance kama x3 pro ila utapata display kali, camera nzuri, etc.
Hivyo Matumizi ya kawaida chukua Note 10 pro, matumizi makubwa x3 pro.
Zote zina maliza,Na ukaaji wa charge ikiwa inatumika zaidi ya masaa 6 on browsing wakati wte huo itamaliza siku na charge??
Kwa zote 2
Vipi na hapa walilipua mkuu?Camera yake ni flagship level nafkiri pixel 6 pia itakuwa na same camera pia ina display kali ya super Amoled naona wamejitutumua Waka chukua Display kwa Samsung.
Tatizo la Tecno wanalipua, huwezi ukaweka flagship camera na soc ya kijinga kama Helio G95, hii soc ni midrange haina akili (isp) ya kurun hio camera.
Pia camera haina vikorombwezo vingine vya kuifanya iwe nzuri zaidi kama flagship nyengine. Mfano haina OIS, haina slow MO, optical zoom na tech zifananiazo etc. Hivyo wametumia tu sensor nzuri ila result za kawaida.
Review yake ipo gsmarena unaweza kuisoma
Tecno Phantom X review
Tecno is one of the brands that the Chinese phone manufacturer Transsion is using for its oversee markets - and most prominently, in Africa. The...m.gsmarena.com
Page ya review ya camera
Tecno Phantom X review
The main 50MP camera is the Phantom X's crown jewel. We've reviewed this Samsung S5KGN1 imager before in the much more expensive vivo X60 Pro+. It's one...m.gsmarena.com
Hapo kinachokurudisha nyuma ni soc, Helio P22.
Kaka naomba muongozo red me 9t ikoje na bei.Zote zina maliza,