Naomba kujuzwa bei ya Phantom X

Njia rahisi mkuu ni kufuatilia habari za vitu vinapotokea.
Mfano.
1. Sony walitangaza sensor yao mpya ya 50MP ambayo itatumika kwenye flagship, hivyo unaanza kuona simu kibao zinatumia.

2. Samsung Wana display mpya za LTPO Amoled simu zote mpya za kisasa zinatumia,

3.umoja wa usb umetangaza usb type C itapitisha umeme hadi watts 240

4. Samsung katangaza ram za lpddr5

5. Storage Mpya za ufs 3.1 etc.

Hivyo unapo kuwa na habari za vitu vinapotokea wewe Uta judge sasa kama hii simu imepack feature zote za kisasa?

Mfano hii phantom X, ina flagship camera 50mp, ina maana imetick kwenye camera lakini soc sio flagship material, haina ddr5, fast charging ya kawaida, haina ltpo display etc.

Na njia nyengine ni kuangalia reviews online, toka website maarufu.
Nafurahia sana kusoma maandiko yako. Kuna wakati unanifanya nijione nimechelewa sana kukufatilia kwenye mambo haya ya technology
 
Kitu kinaweza kuwa bora zaidi lakini kisiwe bora kwenye battery. Kwenye mambo ya tech huwa Kuna fomula moja
-compact
-good battery life
-perfomance

Chagua viwili kati ya hivyo, huwezi kamwe kupata vyote vitatu.

S na note ndio best kwenye samsung hizi zina kila kitu kuanzia processor zenye nguvu, vioo vizuri, na zipo pia zinazokaa na chaji kiasi ila si sana kama A Na M. Bei zake ni ghali.

J series hizi ni zilipendwa siku nyingi wameacha kuzitoa.

A series zenyewe hazina display na processor kali Kama S na note ila zina mabattery makubwa kushinda S, bei zake ni za kati na ndogo. Na mara nyingi hupatikana Dunia nzima.

M ni kama A Sema zipatikana masoko maalum kama India na baadhi ya Nchi zenye wateja wengi.

Kuhusu suala Zima la ubora ni note na S series.

Kuhusu ukaaji chaji ni M series zinakaa na Chaji sana, Sema ni mpaka uagizishie nje kwa hapa Tz.

Kama hutaki kuagizishia nje hata A zinakaa na Chaji kiasi chake.

Mwisho wa siku ni wewe na Budget yako, zipo A, M, s Na note za bei mbalimbali.
Mkuu compact ni nini?
 
Shukrani mkuu,kwa hiyo zile motherboards za size kubwa ya ATX siyo nzuri?
Ni nzuri mkuu, kama una nafasi ni vyema ukawa na Motherboard na desktop kubwa Sababu fomular inaendelea, desktop kubwa utaweka gpu yoyote ile, ram slot 4, hdd za kutosha, cooler ya cpu nzuri etc.

Ila desktop ikiwa ndogo itaanza ku chagua Gpu, baadhi ram unakuta slot 2, etc
 
Kitu kinaweza kuwa bora zaidi lakini kisiwe bora kwenye battery. Kwenye mambo ya tech huwa Kuna fomula moja
-compact
-good battery life
-perfomance

Chagua viwili kati ya hivyo, huwezi kamwe kupata vyote vitatu.

S na note ndio best kwenye samsung hizi zina kila kitu kuanzia processor zenye nguvu, vioo vizuri, na zipo pia zinazokaa na chaji kiasi ila si sana kama A Na M. Bei zake ni ghali.

J series hizi ni zilipendwa siku nyingi wameacha kuzitoa.

A series zenyewe hazina display na processor kali Kama S na note ila zina mabattery makubwa kushinda S, bei zake ni za kati na ndogo. Na mara nyingi hupatikana Dunia nzima.

M ni kama A Sema zipatikana masoko maalum kama India na baadhi ya Nchi zenye wateja wengi.

Kuhusu suala Zima la ubora ni note na S series.

Kuhusu ukaaji chaji ni M series zinakaa na Chaji sana, Sema ni mpaka uagizishie nje kwa hapa Tz.

Kama hutaki kuagizishia nje hata A zinakaa na Chaji kiasi chake.

Mwisho wa siku ni wewe na Budget yako, zipo A, M, s Na note za bei mbalimbali.
Mkuu hizi m za hapa haZuna ubora au maana naZiona madukani
 
Kwa kiasi gani?
Kaka ile refurbished samsung note 9 charger yake imeanza mawenge mpaka sasa ile adapter yake haichajishi na cable yake iliyokuja nayo ambayo ni ya samsung

Ilianza kma week 2 za nyuma kusumbua, yaani mpaka uchezee sana pale inapoingia cable kwnye tundu adapter

Kuna muda inaandika fast charging na kuna muda iliandika cable charging

Na fast charging ilikuwa inajaza kwa lisaa 1 na dk 50 kutokea asilimia 5

Cable charging ilijaza kwa masaa 2 na 20dk kutokea asilimia 5

Sasa sasa hvi ile cable ukitumia kwenye hyo adapter haicharge kabisa

Ila ukibadilisha adapter ukitumia hyo hyo cable inacharge simu kwa cable charging

Na vile vile hyo adapter nayo ukichomeka cable nyingine inacharge simu kwa cable charging

Ila ukirudisha waya wa samsung kwnye hyo adapter haicharge kabisa

Sasa hapo tatizo nimeshindwa kkulijua msaada
20210715_090131.jpg
 
Kaka ile refurbished samsung note 9 charger yake imeanza mawenge mpaka sasa ile adapter yake haichajishi na cable yake iliyokuja nayo ambayo ni ya samsung

Ilianza kma week 2 za nyuma kusumbua, yaani mpaka uchezee sana pale inapoingia cable kwnye tundu adapter

Kuna muda inaandika fast charging na kuna muda iliandika cable charging

Na fast charging ilikuwa inajaza kwa lisaa 1 na dk 50 kutokea asilimia 5

Cable charging ilijaza kwa masaa 2 na 20dk kutokea asilimia 5

Sasa sasa hvi ile cable ukitumia kwenye hyo adapter haicharge kabisa

Ila ukibadilisha adapter ukitumia hyo hyo cable inacharge simu kwa cable charging

Na vile vile hyo adapter nayo ukichomeka cable nyingine inacharge simu kwa cable charging

Ila ukirudisha waya wa samsung kwnye hyo adapter haicharge kabisa

Sasa hapo tatizo nimeshindwa kkulijua msaadaView attachment 1854437
Hio Adapter kuna uwezekano ni kimeo, si rahisi kwa Refurb wakueekee Adapter OG.

Pia huku kwetu kupata Fast charging ni kazi sana. Kama Unapata muda agizishia Aliexpress.
 
Hio Adapter kuna uwezekano ni kimeo, si rahisi kwa Refurb wakueekee Adapter OG.

Pia huku kwetu kupata Fast charging ni kazi sana. Kama Unapata muda agizishia Aliexpress.
Okay

By specifications hii simu imeandikwa inasupport 15w

Je nikichukua adapter ya 18w ama 25w

Itafaa??


Halafu pia hzi pd usb charger ni kwa simu zipi??

Na ipi nzuri ukilinganisha na qc 3.0 ama 4.0??
 
Okay

By specifications hii simu imeandikwa inasupport 15w

Je nikichukua adapter ya 18w ama 25w

Itafaa??


Halafu pia hzi pd usb charger ni kwa simu zipi??

Na ipi nzuri ukilinganisha na qc 3.0 ama 4.0??
Mkuu pd ni kifupi cha power delivery hii ni universal technology inasupport simu zote.

QC ina maanisha Quick charge hii ni tech ya Qualcomm.

Zipo dash, Vooc, turbo na charger nyengine kibao.

Kwa mazingira yetu ya kimasikini mkuu Angalia Zaidi hio PD, haitakuwa na speed kali ila utapata fast charging vifaa vyote bila kubagua, utahitaji tu kifaa kiwe na fast charging.

Na simu ikiwa ni 15w haina shida charger ikiwa 18w, hizi charger ni smart zinaji adjust zenyewe.
 
Wabongo ukiwaambia tecno na infinix kwa material na specifications wanazotumia na kwa bei wanazouza ni Ghali mno hawakuelewi wao wanakwambia kulinganisha na Samsung au iPhone ni cheap bila kujua kuwa hizo simu ni value for money ukilinganisha na hizo famba

Kweli wajinga ndio waliwao
Kununua Tecno ya laki 8 Bora ninunue iPhone 6 plain
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom