Kumbe wengi walikuwa nayo hii album aisee home nilikuwa dogo basi kila leo inapigwa hii album mbaka waislam wengi sana waliipenda kuna wimbo ulikuwa unaitwa ima nikuwa nayo hakikaa kwa mambo yatarajiwayo... Niliipenda sana kwakweli nilikuwa dogooOoh no, hope sahiv watakuwa wazee jamani
😭😭, niliwapenda sana, na nyimbo zao ni bomba mbaya