Naomba kujua vyanzo vya mapato vya Lowassa!

Naomba kujua vyanzo vya mapato vya Lowassa!

Chanzo cha Kipato cha Lowassa; 1. Kodi ya jengo/kumbi iliyotokana na East Africa Community Arusha 2. Uuzaji wa viwanja vya wazi kipindi cha Mwinyi 3. Richmond 4. Biashara haramu na wahindi 5. Mikataba yenye utata kwenye baadhi ya majengo, mfano jengo la masaki liliporomoshwa kisa alitaka floor zote kwenye wing moja badala ya floor moja kwenye wing moja (jengo lina 2 wings), pia jengo la UVccm na mengineyo. 6. Kila deal lilipitia kwake na mengine mengi. Tutayaweka wazi akichaguliwa na chama chake kugombea urais, kwani tunajua siri zake za kifisadi nyingi sana
Tunasubiri Mkuu.
 
Ana kampuni moja ya mchongo kabambe ya kusupply mashine za EFD iitwayo Softnet makao yake karibu na Sido, Upanga.l
 
chanzo kikuku cha viongozi wa ccm ni mikataba ya uwekezali
 
Unaambiwa wahindi wameaminishwa Lowasa ni raisi,kwa kuwa mnafuatilia sana bank account,wahindi wawe wanaenda kutupia hela zao kwenye kachumba flani huko Monduli....stori za mtaani hizi jamani
 
Chanzo kikuu cha mapato ya Edo ni Mzigo uliotoka Japan uliokuwa unaelekea kwa Samwel Malecela, kwa bahati ikaingia ofisini kwa Lowassa ambaye alizitumia kwa kuwekeza! Chanzo kingine ni Jengo la Ubalozi wa South Africa alizowapangisha kwa Rates za Ulaya, Shivacom, NASHERA Hotel nk...

Chanzo chaMapato c Samwel Sitta ni Ujenzi wa DIA/JIA na CDA

Chanzo cha mapato cha Membe ni Change ya Rader na Fedha za Ghadaffi

Chanzo cha Mapato cha Pinda ni Deals za Sukari na ESCROW

Wassira : ESCROW, UJANGILI , MIKATABA YA MADINI

MAkamba Jr: Kodi ya Simu, MIkataba ya Madini, ESCROW

Nchemba: ESCROW, Viwanja na majengo ya CCM

SUMAYE : Mikataba ya Madini, Ranch

Muhogo: ESCROW, Mikataba ya Madini

MAGUFULI: Mikopo ya WB, 50% Kwenye mikataba ya ujenzi, mapato ya vivuko

MWAKYEMBE: Mikataba bandarini, Deal la Nishati, Vivuko, ESCROW

Umetisha mkuu,Mm ndio maana naichukia CCM hawana tofauti na mchwa!!
 
Kuna dili ya kaagiza magari ya kijapani enzi za mwalimu,Samuel Malecela akiwa PM. PM alikula dili na wajapani kupiga cha juu. Baada ya muda wale wazungu wakaleta commission ya PM kisiri,wakamkuta EL,akawaambia PM kanambia mnikabidhi mie huo mzigo. Jamaa wakamkabidhi EL mzigo,EL akapiga kimya. Zikapita siku PM akawauliza wale watasha ule mzigo. Wakamwambia tulimpa EL,,dah mtu mzima PM akamaindi kichizi,akamuuliza EL,EL akamwambia ndio walileta nilipokea ninao. PM akaamua kuuchuna maana yangefika kwa Mwalimu. Basi ndio ikawa mwanzo wa bifu la PM (Kalandinga) na EL mpaka kesho.

Kwa hiyo unatuambia kuwa katika kipindi cha Mwalimu, Samweli Malecela alikuwa ni PM na EL waziri?
 
Chanzo kikuu cha mapato ya Edo ni Mzigo uliotoka Japan uliokuwa unaelekea kwa Samwel Malecela, kwa bahati ikaingia ofisini kwa Lowassa ambaye alizitumia kwa kuwekeza! Chanzo kingine ni Jengo la Ubalozi wa South Africa alizowapangisha kwa Rates za Ulaya, Shivacom, NASHERA Hotel nk...

Chanzo chaMapato c Samwel Sitta ni Ujenzi wa DIA/JIA na CDA

Chanzo cha mapato cha Membe ni Change ya Rader na Fedha za Ghadaffi

Chanzo cha Mapato cha Pinda ni Deals za Sukari na ESCROW

Wassira : ESCROW, UJANGILI , MIKATABA YA MADINI

MAkamba Jr: Kodi ya Simu, MIkataba ya Madini, ESCROW

Nchemba: ESCROW, Viwanja na majengo ya CCM

SUMAYE : Mikataba ya Madini, Ranch

Muhogo: ESCROW, Mikataba ya Madini

MAGUFULI: Mikopo ya WB, 50% Kwenye mikataba ya ujenzi, mapato ya vivuko

MWAKYEMBE: Mikataba bandarini, Deal la Nishati, Vivuko, ESCROW

rockspider
 
Ana kampuni moja ya mchongo kabambe ya kusupply mashine za EFD iitwayo Softnet makao yake karibu na Sido, Upanga.l
SoftNet ni wadogo zake na mkuu wa TISS othman ,na pia yule kijana msemaji wa Bungeni Othman akiwa ni mmojawapo ndiyo maana unaona tenda zinatiririka tuu pale
 
Watu mnaweweseka na hilo jina!!! Nyinyi semeni lolote lile tungojee ushindi wa kimbunga nec- edward lowasa.
 
Mmiliki wa diamond trust bank
share kubwa crdb na vodacom
dili na wahindi kwa mfano leopard safari
 
Wadau naombeni kujua vyanzo vya mapato vya huyu brother, Me nilisikia ni mfugaji mzuri tu.Ya Richmond tatizo lilikua ni uwaziri mkuu.Tusimshutumu tuu kua anagawa rushwa wakati pengine tunajua biashara zake na hua anasaidia wenye shida na si kugawa rushwa. Tatizo lake nini? kaiba wapi? lini alitangaza kugombea uraisi?Alisema aliyepata kapata jamani.
Acha kumpigia lowasa kampeni za kijanja!
 
Ndio Maana Nyerere hakujua ukwasi wake ulipopatikana hadi akahoji? Acheni mbwembwe,lowasa ni mwizi tu kama alivyo chenge na ndio maana hajawahi kuongelea ufisadi wala wizi wa raslimali za umma kwani ni sawa na kujiumbua mwenyewe.HIVI KWA MAZINGIRA YA SASA YA TZ UNAONA NA SAWA KUWA NA RAIS ASIYEKEMEA UFISADI NA RUSHWA? RAIS ASIYE TAYARI KUPAMBANA NA RUSHWA NA UFISADI UNAOANGAMIZA TAIFA? JIULIZE KWA NINI LOWASA HAYASEMEI HAYO? INA MAANA HAONI KAMA NI MATATIZO KTK TAIFA HILI? TAFAKARI!

prof. kitila na benchi ya ufundi kwa ujumla, hawajamshauri kufanya hivyo
 
Kuna hii kitu aliniambia mtu mkubwa kuhusu Lowassa, ila sina uhakika kama ni kweli, au ni siasa tu; kwamba kabla hajafanikisha uteuzi wako alikuwa anataka uji commit kumpa percent fulani ya mshahara kila mwezi. Kuna watu wanaweza wakawa wanaguswa na hili, inabidi tujue ukweli.
 
Kampuni Ipi? Songas, AGRECO, IPTL/PAP, ATMAS or SYMBION? ... Mkuu Mnyonge mnongenihaki ake mpeni; Edo hayuko kwenye NISHATI!!! Yeye alisoma UK wakati Mahasimu wake walisoma kwenye nchi za kijamaa! Entrepreneurship ilimuingia zamani kiasi cha yeye kutambua umuhimu wa familia towards maendeleo!!! Fauatilia ugomvi wa Malecela na Edo ndipo utakapo gundua UKWASI wa Edo ulikuwa ni Jackpot Bingo iliyomdondokea mwenye kujitambua..

Chanzo chake kikuu ni CAPACITY CHARGE
 
Back
Top Bottom