SHIVA MAINA
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 293
- 42
Inakuhusu nini?
Na yeye Urais wa nchi yetu unamuhusu nini?!Inakuhusu nini?
Hhahahah.., bila shaka ni masikini..Wewe una uhakika gani kua lowasa ni tajiri, au unasikia sikia, ukiambiwa onyesha kitu kimoja kinachokufanya useme ni tajiri utaonyesha? Hangaikia maisha yako
Na yeye Urais wa nchi yetu unamuhusu nini?!
Mbona hauulizi utajiri wa Ndesamburo? Au utajiri wa Edwin Mtei nae aliiba akiwa gavana wa Benki Kuu?Watanzania tuache majungu na uzushi bali tuchape kazi ili kuboresha maisha yetu.
Itakua vuzuri na wengine tufahamu,maana tunasikia anagawa rushwa tu na wakati kwenye list ya wenye ukwasi bongo hayupo.
utajir wa lowassa kamuulize mama yako bustard