Naomba kujua umuhimu wa kupitisha Reli ya SG juu, kipande cha karibu na stesheni

INGEKUWA BORA HIYO SGR IANZIE PUGU STATION. GHARAMA ZA KUJENGA RELI KATI YA DSM STATION - PUGU ZINGETOSHA KABISA KUJENGA STATION KUBWA PALE PUGU.HII PIA INGEPUNGUZA MSONGAMANO MJINI.KILA KITU KKOO.NDIYO CHANZO CHA MSONGAMANO MJINI
 
INGEKUWA BORA HIYO SGR IANZIE PUGU STATION. GHARAMA ZA KUJENGA RELI KATI YA DSM STATION - PUGU ZINGETOSHA KABISA KUJENGA STATION KUBWA PALE PUGU.HII PIA INGEPUNGUZA MSONGAMANO MJINI.KILA KITU KKOO.NDIYO CHANZO CHA MSONGAMANO MJINI
Hiki ndio kitu kilichotakiwa kufanya, ingejengwa station kubwa pale pugu, zikajengwa barabara kubwa za kuiunganisha hiyo stesheni ya pugu na barabara ya mbagala pamoja na ubungo, na ikiwezekana kwa mwwndo kasi pia ingependeza sana.
Kutoka hiyo stesheni ya pugu kuja posta wangeboresha treni ya mwakyembe
 
Tuombe sana mungu siku isije ikaacha njia kwenye makazi ya watu
Habari wana jf mimi kuna kitu kidogo tu kina nitatiza hivi kulikuwa na ulazima gani wa kuipitisha juu treni ya kisasa inapokaribia kituo cha DSM JE NI KUKWEPA MUINGILIANO NA BARARABARA au kuna sababu nyingine?

nawatakia siku njema
 
Dogo tulisa bol. Hizo ni kiki tu ili msukuma akitoka Shinyanga ashangae jiji. Kuanzia flaiova tazara. Intachenji ubungo reli ya juu gerezani na barabara ya baharini cocobich hadi agakhan. Kwa mfano ukiwa na kagari ukamchukua mtoto wa Mwanza ukamtembeza kwenye hayo maeneo ukamalizia ba daraja la nyerere hakika utapewa mpaka ukinai
Mpaka biriani utakula.
 
Sawa mkuu hata mi nimewinda sana mkuu nimetega sana kanga na kwale hawa nilikua fundi kweli kweli wa kuwatega ila saizi umri umeenda tuko mjini tunakula keki ya taifa
nikweli mkuu ujana unaraha zake bana uko mitaa gani mi niko dar
 
Back
Top Bottom