Joyce Gaitan
Member
- Dec 29, 2017
- 45
- 52
Habarini za majukumu ndugu zangu.
Nasumbuliwa sana na mgongo, niliwahi piga X-ray na imeonyesha pingili hazina mpishano mzuri kutokana na ukaaji chini muda mrefu. Dr alinishauri niwe navaa mkanda kwajili ya kunyoosha pingili lakini naona hali bado sio shwari.
Nilijaribu kwenda kwa wale madokta wanaounga mifupa kwa vijiti, wakanambia wananyoosha pingili kwa gharama ya laki 5 (500,000) naomba msada wenu kwa yeyote anayefahamu tiba mbadala ya hiyo anifahamishe kwakuwa sina pesa hiyo ya kwenda kunyooshwa.
Asanteni
Nasumbuliwa sana na mgongo, niliwahi piga X-ray na imeonyesha pingili hazina mpishano mzuri kutokana na ukaaji chini muda mrefu. Dr alinishauri niwe navaa mkanda kwajili ya kunyoosha pingili lakini naona hali bado sio shwari.
Nilijaribu kwenda kwa wale madokta wanaounga mifupa kwa vijiti, wakanambia wananyoosha pingili kwa gharama ya laki 5 (500,000) naomba msada wenu kwa yeyote anayefahamu tiba mbadala ya hiyo anifahamishe kwakuwa sina pesa hiyo ya kwenda kunyooshwa.
Asanteni