RALO
Member
- Jan 31, 2012
- 46
- 13
Habari ya muda huu wadau, nahitaji kutumia Nota Bene (NB) Kwenye barua, kuna neno lake ambalo ni la Kiswahili pekee?.
Natanguliza shukurani zangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natanguliza shukurani zangu.
Sent using Jamii Forums mobile app