Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Wanadeka sana
Ukitumia mkono, jela inakuhusu wallah...Ahahaha umetisha mkuu me huwa nkipga najeruhi vbaya mno nna mkono mbaya wa kupga, kumnjunja n fimbo tosha ya kumpigia
Ndicho nilichomaanisha mkuuUkitumia mkono, jela inakuhusu wallah...
Fimbo inajeruhi mkuu, pengine jifundishe mkupiga kwa mkuyenge....
Kwanza unatakiwa umpige kabla ya kumnjunja...
Wanasomaga magazeti wakati wa kunjunjana...
Wawanyang'anya majambazi silaha....
Wanakulaga ugali na kichuri asubuhi....
Nasikia' eti wana ng'olewa filimbi....
Hii kali sasa kwann unasema ivo toa sababu kutetea hoja yakoHua sipendi kuhukumu watu kwa makabila ila kama wewe sio Mkurya aisee sikushauri kabisa kabisa kabisa kabisa uoe lile kabila.
Nadhani kuna makabila mengine yapo kwa ajili ya kuoana wenyewe kwa wenyewe likiwemo hilo.
hapo ni kweli kuna makabila yanaendana wakioana wenyewe mfano Wahaya, wachagga na watu wa PwaniHua sipendi kuhukumu watu kwa makabila ila kama wewe sio Mkurya aisee sikushauri kabisa kabisa kabisa kabisa uoe lile kabila.
Nadhani kuna makabila mengine yapo kwa ajili ya kuoana wenyewe kwa wenyewe likiwemo hilo.
Na wa kusini pia, hasa Wamakondehapo ni kweli kuna makabila yanaendana wakioana wenyewe mfano Wahaya, wachagga na watu wa Pwani
Ip sababu maana siku iz vizaz vinaelimika na kubadilikaNa wa kusini pia, hasa Wamakonde
Siraha hizi zisikose mfukoni mwako: Mawe na manati!
Kuna wale wasipenda kuonekana wazee sijui ni wanawake wa kijaluo au wa Mara kwa wastani?
Yani hata awe amekula kichuri cha kutosha lakini hata uwe mdogo umwamkie Shikamoo hataki!
Utakuta mbibi lakini kavaa kipedo eti
Sana tuuu hasa maeneo ya vijijini wanafanya kwa kujificha kuogopa serikali,
Ukiwakuta wastaarabu jua hapo wame mix mambo. Lakini hawapotezi asili yaoHua sipendi kuhukumu watu kwa makabila ila kama wewe sio Mkurya aisee sikushauri kabisa kabisa kabisa kabisa uoe lile kabila.
Nadhani kuna makabila mengine yapo kwa ajili ya kuoana wenyewe kwa wenyewe likiwemo hilo.
Iko wazi now days, nimeshuhudia mwaka huu sherehe zao kama tatu au mbili
Wanaume wa kikuria panga mkononi, visu.Hii kali sasa kwann unasema ivo toa sababu kutetea hoja yako
Pwani kuna kabila nyingi. Wengi wamestarabika for 90%.hapo ni kweli kuna makabila yanaendana wakioana wenyewe mfano Wahaya, wachagga na watu wa Pwani
Ad nakosa cha kuchangiaWanaume wa kikuria panga mkononi, visu.
Ndiyo maana wanaweza kukaa na wanawake wa kwao, coz wanahofia kifo
Pole yao wanaofanyiwa ivo