Mgiriki MTz
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 330
- 270
Habari wana JF,
Naomba kujua nauli ya basi kutoka Mbeya hadi Kigoma ni shilingi ngapi? Pia, naomba kujua kama kuna basi la moja kwa moja Mbeya to Kigoma?
Nawasilisha.
Naomba kujua nauli ya basi kutoka Mbeya hadi Kigoma ni shilingi ngapi? Pia, naomba kujua kama kuna basi la moja kwa moja Mbeya to Kigoma?
Nawasilisha.