Ester505 JF-Expert Member Jul 14, 2020 794 1,030 Nov 13, 2023 #1 Naomba kujua kwa sasa kilo moja ya mwani ni shilingi ngapi? Gharama za kusafirisha mwani kutoka Tanzania hadi UAE ni shilingi ngapi? Nawasubiri kwenye komenti zenu. Asanteni.
Naomba kujua kwa sasa kilo moja ya mwani ni shilingi ngapi? Gharama za kusafirisha mwani kutoka Tanzania hadi UAE ni shilingi ngapi? Nawasubiri kwenye komenti zenu. Asanteni.
nzalendo JF-Expert Member May 26, 2009 10,687 9,869 Nov 13, 2023 #2 Watakujuza toka zenj mpaka kunako mpeketoni
Msanii Platinum Member Jul 4, 2007 22,606 29,755 Nov 13, 2023 #3 Mkuu watu wa. TANTRADE wana majibu yote. Ingia web yao utapata contacts zao