Samhoodsam
Member
- Sep 24, 2015
- 33
- 6
Nasema hili kwa uchungu kwani mpaka leo sijachaguliwa kila nikiingia kwenye profile yangu neno hili nalikuta kila siku "system is closed for selection".
Mbona hawatuweki wazi kama wamemaliza kama TCU?
Mbona hawatuweki wazi kama wamemaliza kama TCU?