mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Mambo ya wahenga mkuu.Long time..
Mambo ya wahenga mkuu.Long time..
JF ishageuka kituko tu. Jamaa kauliza swali, badala ya kumjibu, yanakuja maswali mengine tofauti na swali lililoulizwa!
Kumbe huu uzi wa kuomba mi naomba kujua ben saanane yu wapi..
Groly Robinson (mtoto wa mama sabuni)Beatrice Roberts mwana wa Sabuni
Ana chanel yake YouTube inaitwa sns japo mara ya kwanza alikuwa dizziness online tv na yenyewe pia ilikuwa YouTube channel....yupo muruaaaaa! ana vocal flan hivi deep sana.....Mimi namuulizia FREDRIK BUNDALA( sky worker) jamaa anasauti safi sana
Ana chanel yake YouTube inaitwa sns japo mara ya kwanza alikuwa dizziness online tv na yenyewe pia ilikuwa YouTube channel....yupo muruaaaaa! ana vocal flan hivi deep sana.....
Azam tvHivi Bahati mdetele Mwende yupo wapi siku hizi?
Alikuwa kajaliwa sana..Yupo kwa sasa ni mke wa mtu mara ya mwisho kumwona nimeona kapost anavalishwa pete ya uchumba na anaripoti kwa upande wa huko dasilamu kwenu
lete picha yakeAlikuwa kajaliwa sana..
Yuko anazalishwa zalishwa...Hallo wana jf, yule mdada Nilimmandi kidizain alivokuwa star TV.
Sahiv yupo wap,? Kaacha utangazaji? Family anayo?
hospitali gani?Yuko anazalishwa zalishwa...