Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,380
- 33,031
MsukumaMkibosho.
MsukumaMkibosho.
MAGU KALA KICHWA.Kuna nini mzee?
Dah ndio nimesoma sahv hapa...NomaMAGU KALA KICHWA.
laana ya AkwilinaItakuwa Magu kapata taarifa za wizi wa huyu jamaa maana hakutoa sababu zozote!! Jamaa ni Mwizi hatari ana mijumba ya kufa mtu,halafu ujenzi wake anaanza from scratch hadi anamaliza hakuna kupumzika akishamaliza anahamsha ujenzi sehemu nyingine nako mwanzo mwenga hakuna kupumzika!! Halafu Mijengo ya maana 600m+
DC WA KAHAMA anaitwa Elimringi Macha au kacheo kadogo hakoNafasi gani hizo?. Ni Adolf Mkenda tu kapewa wizara ya kilimo na uvuvi. Walimdanganya Kimei atapewa waziri wafedha wee thubutu.
Uko sahihi sana ! Halafu pia kuna taarifa kwamba afya yake ilibebwa na madaraka tu , ila tayari kitamboKwa bifu alizotengeneza hachelewi kuvuta kutokana na msongo wa mawazo au changamoto
Awam hii kna watu wanapiga sema tatizo washmb wageni wa mambo,wanapiga double doubleItakuwa Magu kapata taarifa za wizi wa huyu jamaa maana hakutoa sababu zozote!! Jamaa ni Mwizi hatari ana mijumba ya kufa mtu,halafu ujenzi wake anaanza from scratch hadi anamaliza hakuna kupumzika akishamaliza anahamsha ujenzi sehemu nyingine nako mwanzo mwenga hakuna kupumzika!! Halafu Mijengo ya maana 600m+
Uliona mbali sana. Utabiri wako umetimia leo.Huyu damu ya Akwilina itamtesa hadi anaingia kaburini,atakuja kufukuzwa kama mbwa koko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, huyo DC na wazir wa kilimo. Wawili tu. Na mwengine?DC WA KAHAMA anaitwa Elimringi Macha au kacheo kadogo hako
JamaniHuyu damu ya Akwilina itamtesa hadi anaingia kaburini,atakuja kufukuzwa kama mbwa koko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ndio hiyoJamani
sasa wewe unataka wawe wangapi?Sawa, huyo DC na wazir wa kilimo. Wawili tu. Na mwengine?