red bandama
JF-Expert Member
- Jul 29, 2016
- 483
- 573
Huyo punda Ni kabila gani
Mkibosho.Huyo punda Ni kabila gani
Mchaga apewe shavu awamu hii ! Mbona yatakuwa maajabu ya mwaka !Mkibosho.
Mbona wachaga wapo wengi kwenye nafasi za maana kuliko huo ukurugenzi wa manispaa, tena wa kukaimu.Mchaga apewe shavu awamu hii ! Mbona yatakuwa maajabu ya mwaka !
Mpaka 2020 watapukutishwa wote .Mbona wachaga wapo wengi kwenye nafasi za maana kuliko huo ukurugenzi wa manispaa, tena wa kukaimu.
Ni siri ya Kagulumujulimawakala wa ccm hivyo viapo hawakuondoka navyo wao?
Mkuu nadhani huwezi kupewa kiapo na aliyekuapisha akabaki bila kiapo. Sababu siku ukikiuka kiapo chako ile nakala ndiyo itatumika kama ushahidi kuwa uliapa hutofanya ABC.Tangu lini mmekuwa mkibaki na viapo vya hao mawakala? Kama ni makaratasi si muwape, kama makaratasi hayo sio muhimu, kwanini mnayang'ang'ania?
Kumbe kwanini basi mawakala hutakiwa kuonyesha viapo siku ya kusimamia uchaguzi? Hujawahi kusikia kwamba mawakala wa vyama fulani wamezuiwa kwa sababu ya kukosa viapo? Hebu nielimishe zaidi!Mkuu nadhani huwezi kupewa kiapo na aliyekuapisha akabaki bila kiapo. Sababu siku ukikiuka kiapo chako ile nakala ndiyo itatumika kama ushahidi kuwa uliapa hutofanya ABC.
Mfano waulize waliosimamia uchaguzi, utabaini viapo hubaki kwa waapishaji. Hata wale walimu waliowahi kusimamia Mtihani wanajua kuwa wakimaliza kuapa viapo vyote hukisanywa na hawapewi hata nakala. Maana hizo ndiyo zitatumika baadaye endapo atakiuka kiapo chake
Wewe bila shaka huna akili
Kama tulivyosema awali jina la Kagurumujuli litabaki kwenye kumbukumbu za watu wengi kwa kitambo kirefu sana , hata kama misheni yake haikutimia kama alivyotumwa .
Kuna nini mzee?IMEISHA HIYOOOOOOOO.
Nafasi gani hizo?. Ni Adolf Mkenda tu kapewa wizara ya kilimo na uvuvi. Walimdanganya Kimei atapewa waziri wafedha wee thubutu.Mbona wachaga wapo wengi kwenye nafasi za maana kuliko huo ukurugenzi wa manispaa, tena wa kukaimu.