Tairi bovu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 3,063
- 2,983
Hahahaha wazee wa BED hawa hata rev squre walikuwa hawaji hata uwatishe vipiNinachojua ni mhitimu wa BED (Adult Education) UDSM class of 2006
Hahahaha wazee wa BED hawa hata rev squre walikuwa hawaji hata uwatishe vipiNinachojua ni mhitimu wa BED (Adult Education) UDSM class of 2006
Wanaogopa kuharibu kitumbua chaoHahahaha wazee wa BED hawa hata rev squre walikuwa hawaji hata uwatishe vipi
Jamaa washaandaa hoja nzuri za kulalama baada ya kushindwa wakati uchaguzi bado. Ni sawa na mtu kutungua kilio msibani kabla hujajua marehemu ni nani!Mwaka huu mtaomba CV nyingi sana. Hoja uliyoleata ni dhaifu na haina mashiko. Mipango ya gizani wewe unayajuaje umekuwa giza?
Labda ya bashite bwabwa nyanya marinda lessWatu wasije wakadai ya Mbowe
Kumbe ccm imepotea kwenye ramani? kesho mda kama huu ID nyingi zitakuwa zimebadilishwa.Ya Mbowe kama hujui basi labda ni wewe tu , Mbowe ndio kiboko aliyeipoteza ccm kwenye ramani , wamechanganyikiwa kiasi cha kuvamia hadi bustani za mchicha .
Umeelewa chanzo cha kuleta uzi huu ?Kumbe ccm imepotea kwenye ramani? kesho mda kama huu ID nyingi zitakuwa zimebadilishwa.
Inasemekana huyu ndio Mkurugenzi wa kwanza kuwahi kuwepo kwenye Manispaa ya jiji la DSM na kutokomea na Viapo vya mawakala wa chama cha siasa walioapa kihalali ili kusimamia chama chao kwenye vituo vya kupigia kura kama sheria inavyoelekeza.
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba , kama atatekeleza mipango yake anayoipanga gizani kuhusiana na uchaguzi wa Kinondoni , basi jina lake laweza kuingia kwenye kitabu cha kumbukumbu za Watanzania watakaokumbukwa kwa kitambo kirefu
Kutokana na uzito wa aibu aliyojitwisha kijasiri ili kuokoa chama chake cha ccm , nimeona nije kwenu ili tumfahamu vizuri mtu huyu mtiririko wa utendaji wake pote alipopita ikiwa ni pamoja na kiwango cha elimu yake pamoja na shule alizopitia .
Natanguliza shukrani .
Kagurumjuli ni TIIIIISSSSS. Achana nae.
Kiapo siyo cheti cha mtu kufuzu kuapa ila ni ushahidi kwa kumbukumbu za ofisi.Na wewe tuoneshe kifungu cha sheria ambacho kinasema ukishaapa usiondoke na kiapo
Mmefumaniwa vibaya sana kudadeki !
Hapo ndo utacheka ushangae kwelkwel, ukihoji kuhusu mtu wao utasikia "cv ya nn - mbona huko ccm kuna wasomi na maendeleo hakuna"Watu wasije wakadai ya Mbowe
Jana kasababisha watu kufa ongezea kwenye CV yakeUJINGA NI PALE MNAPOACHA HOJA ZA.MSINGI NA KUANZA KUMJADILI MTU. KAGURUMJULI HE'S EDUCATED ENOUGH NA ANA EXPERIENCE YA NGUVU, USIFIKIRIE ALIIBULIWA TU. CHAPA KAZI JENGA NCHI YAKO SIO KUTAKA KUJADILI WATU ALAFU MWISHO QA SIKU MNALALAMIKA VYUMA VIMEKAZA SIJUI NINI KUMBE NI UJINGA WENU WENYEWE
Ndo waswahili walivyo mkuu.The way you respond shows " you're too close to nature"
n MTU wawapi?Pia ni
Mzee wa totoz sana;
Kipindi kile yupo pale UDSM 2002/2003 to 2005/2006 BED - ADE amekamua sana vibinti vya mabibo akitumia mark II yake kama chambo cha kuwanasa warembo by then akitokea shinyanga as afisa elimu watu wazima kwenye wilaya moja wapo.
Baadae alienda Arusha kama afisa elimu pale mkoani....baada ya ku graduate pale UDSM kwa kuhonga pale wizara ya elimu.
Baadae akahonga tena ndio katolewa arusha kuja hapa mjini dar as afisa elimu then baada ya ya yule mkurugenzi wa kinondoni kusimamishwa ndio yeye as afisa elimu ka kaimishwa hapo kinondoni.
Kifupi ni kuwa namjua sana Kagurumjuli , alikuwa classmate wangu miaka hiyo hapo UDSM na wala sio TISS kama hao walivyodanganya ila tu ni mtu mjanja mjanja sana wa kujua kucheza step za mziki kadiri ya mazingira na ni fighter sana wa position za kiutawala kiujanja ujanja. Ana degree moja tu ya elimu akispecialize in adult education.
Pia by then ilishafahamika kuwa kaungua na alikuwa na speed ya hatari kula ili kusambaza ila yeye kinachomsaidia ni carrier hvyo sio rahisi kutambulika mapema ila kama demu akimpitia tu after 3 month akipima tayari lazima aanze dozi ya matumaini.
Kifupi huyo ndio kagurumjuli ; mate wa UDSM 2002 to 2006 watakubaliana na mimi hasa wale wa faculty ya education
Duh !n MTU wawapi?
MBNA washangaaDuh !