Naomba kufahamu UHANITHI au UHANISI unakuwaje?

Hanisi ni neno la kiarabu kwa kiswahili tunaweza kusema ni mtu asiweze kudinda Uume wake ni ugonjwa unaweza kutibika na upo Uhanithi wa kuzaliwa kwa mfano, Mtoto wako wa kiume kwa imani ya kiswahili kitovu kikimuangukia kwenye uume wake anaweza kuwa Hanisi. Na kuhusu hilo tatizo haliwapati wanawake. nakuuliza swali je wewe muulizaji ni Mwanamke au Mwanamme?. PAINIA WAKWELI
 
Painia hawezi kuwa wa kike,je haiwezekani uume kudinda af bado mtu akawa *******?yan akikutana na mwmke unasinyaa?
 
Painia hawezi kuwa wa kike,je haiwezekani uume kudinda af bado mtu akawa *******?yan akikutana na mwmke unasinyaa?
mbona mashahidi wayehova wana mapainia wa kike? yaani unadinda akikutana na mwanamke unasinyaa!!!? pengine tatizo la kisaikolojia au mazingaombwe sidhani kama huo tutaita uhanithi
 
imani kwa upande mwingine huketa matatizo sana katika kwa hiyo inabidi kisaikolojia ajijenge zaidi maana unaweza ukawa uonga tu
 
tatizo kam ni hilo itabidi umwambie huyo mtu awasilianena mimi kwa njia ya email yangu ni hii (fewgoodman@hotmail.com) hapa kwenye hili jukwaa huwezi kuipata dawa yake .......... PAINIA WAKWELI

kwa faidaya wengi mkuu hp hp jamvini haina haja ya kwenda nyuma ya pazia.
 
Last edited by a moderator:
inakuwaje watu wanashindwa kujamiiana?je tatizo hili lina tiba?je linawapata wanawake pia?naomba kusaidiwa.


Sikia Painia: Kuwa M.se.nge ama Msagaji inaweza kuwa categorized as a disease katika mila zingine na kitaaluma hawa watu (wa.se.nge/wasagaji) wanasadikiwa kuwa wana psychological/biological disease. Kumbuka, straight people don't turn gay as gay people don't turn straight. Mwanamme anayezaliwa na huu ugonjwa mara nyingi anaishi kwa kujidanganya maana hataki jamii ijuwe kuwa yeye ni m.se.nge, but as mda goes by ana develop zile feelings za kupenda wanaume wenzake. Usishangae kuona huyu mtu ana mke wa ndoa na mjanja kishenzi kwa mademu huko nje lakini usiku ukiingia anapinduliwa na wenzake ama kushikishwa ukuta. Kitaaluma, hawa watu huitwa homophobics. Anajifanya dume la mbegu kumbe anashikishwa ukuta na vitoto vya mtaa pale hisia zikimjaa. Kwa kweli mpaka hivi sasa wana science duniani hata sie madaktari wa humu chuo kikuu cha jamii (JF) bado hatujapata ufumbuzi as to why mtu anakuwa confused na kupenda same sex zaidi ya kusema ni ugonjwa wa akili. Ukija hapa kwetu, kuna watu (masangoma) wanatumia science fiction (uchawi) kuroga akili za mtu fulani ili awe m.se.nge, so you can see the relationship as to why unaitwa ugonjwa wa akili. Na ukiangalia kiundani zaidi unaweza kukubali ni hivyo; kwani wewe Painia kama mwanamke/mwanamme iweje uwe na hisia za kushughulikiwa na mtu wa jinsia yako? Au jiulize kwa nini mwanamme (homophobic) aliyeoa mke wa ndoa achukue ndizi au dildo (mboo feki) ajishindilie mkunduni wakati mkwewe akiwa hayupo? Au kwa nini mwanamke amshindilie ndizi au dildo mwanamke mwenzake wakati wanaume wa kumpa penzi mwanana kitandani wapo? Kuna wengine wanaweza kusema labda ni curiosity, lakini curiosity gani ya kujishndilia ndizi mkunduni? Kwa utamu upi huo? Kwa hiyo, kwa kifupi naweza kusema u homophobic ni a psychological thing na ndiyo maana wachina wanatibu hawa watu kwa accupunture as a psychological disease na wanapona according to them (madaktari wa kichina). Samahani kama nimewakera wa.se.nge waliojificha.
 
inakuwaje watu wanashindwa kujamiiana?je tatizo hili lina tiba?je linawapata wanawake pia?naomba kusaidiwa.

H*nithi ni mwanaume anayeshindwa kusimamisha uume (kudinda) kabisa..si lazima awe ms*nge/gay..Na hii inaweza kuwa kutokana na mapungufu ya kimaumbile (anatomical na/au physiological) au mapungufu ya kiakili (psychological).

Ili uume udinde, lazima mwanaume apate ashki (voluntary au involuntary)..hiyo ashki inasababishwa kumwagwa kwa vichochezi ambavyo vinaonngeza msukumo wa damu kwenye uume, na uume unarefuka na kuwa mgumu tayari kutoa shur'ba. Sasa hii process ya kuongezeka msukumo wa damu kwenda kwenye uume inathiriwa iwe anatomically/physiologically/psychologically...basi uume hauwezi kusiamama, na mtu unakuwa h*nithi!

Tatizo hili haliwapati wanawake kwani hao response yao kwa ashki ni tofauti kidogo.

Tatizo hili linaweza kutibika au kutotibika, inategemea imesababishwa na nini. mara nyingi uhanithi unaosababishwa na mapungufu ya kimaumbile (anatomical) huwa hautibiki...physiological kuna ambao unaweza kutibika na usioweza kutibika...mfano Viagra inatibu uhanithi wa aina hiyo...psychological unatibika!
 
Sikia Painia: Kuwa M.se.nge ama Msagaji inaweza kuwa categorized as a disease katika mila zingine na kitaaluma hawa watu (wa.se.nge/wasagaji) wanasadikiwa kuwa wana psychological/biological disease. Kumbuka, straight people don't turn gay as gay people don't turn straight. Mwanamme anayezaliwa na huu ugonjwa mara nyingi anaishi kwa kujidanganya maana hataki jamii ijuwe kuwa yeye ni m.se.nge, but as mda goes by ana develop zile feelings za kupenda wanaume wenzake. Usishangae kuona huyu mtu ana mke wa ndoa na mjanja kishenzi kwa mademu huko nje lakini usiku ukiingia anapinduliwa na wenzake ama kushikishwa ukuta. Kitaaluma, hawa watu huitwa homophobics. Anajifanya dume la mbegu kumbe anashikishwa ukuta na vitoto vya mtaa pale hisia zikimjaa. Kwa kweli mpaka hivi sasa wana science duniani hata sie madaktari wa humu chuo kikuu cha jamii (JF) bado hatujapata ufumbuzi as to why mtu anakuwa confused na kupenda same sex zaidi ya kusema ni ugonjwa wa akili. Ukija hapa kwetu, kuna watu (masangoma) wanatumia science fiction (uchawi) kuroga akili za mtu fulani ili awe m.se.nge, so you can see the relationship as to why unaitwa ugonjwa wa akili. Na ukiangalia kiundani zaidi unaweza kukubali ni hivyo; kwani wewe Painia kama mwanamke/mwanamme iweje uwe na hisia za kushughulikiwa na mtu wa jinsia yako? Au jiulize kwa nini mwanamme (homophobic) aliyeoa mke wa ndoa achukue ndizi au dildo (mboo feki) ajishindilie mkunduni wakati mkwewe akiwa hayupo? Au kwa nini mwanamke amshindilie ndizi au dildo mwanamke mwenzake wakati wanaume wa kumpa penzi mwanana kitandani wapo? Kuna wengine wanaweza kusema labda ni curiosity, lakini curiosity gani ya kujishndilia ndizi mkunduni? Kwa utamu upi huo? Kwa hiyo, kwa kifupi naweza kusema u homophobic ni a psychological thing na ndiyo maana wachina wanatibu hawa watu kwa accupunture as a psychological disease na wanapona according to them (madaktari wa kichina). Samahani kama nimewakera wa.se.nge waliojificha.

H*nithi na Ms*nge ni watu wawili tofauti. Uhanithi tunaongelea uwezo wa mtu kudinda au la, unaweza ukawa h*nithi (huwezi kudinda) lakini sio ms*nge, wapo wengi tu kwa matatizo ya kisukari, kansa ya prostate, kansa ya kende/pumbu, ajali etc ambao hawawezi kudinda..lakini sio was*enge! Us*enge ni kuingiliwa kinyume na maumbile (kulawitiwa)...unaweza ukawa 'rijali' (unadindisha kama kawaida) lakini unapenda wanaume wenzako wakulawiti!
 
Hanisi ni neno la kiarabu kwa kiswahili tunaweza kusema ni mtu asiweze kudinda Uume wake ni ugonjwa unaweza kutibika na upo Uhanithi wa kuzaliwa kwa mfano, Mtoto wako wa kiume kwa imani ya kiswahili kitovu kikimuangukia kwenye uume wake anaweza kuwa Hanisi. Na kuhusu hilo tatizo haliwapati wanawake. nakuuliza swali je wewe muulizaji ni Mwanamke au Mwanamme?. PAINIA WAKWELI

Hii sio kweli MziziMkavu....ni dhana ambayo imejengeka kuwa kitovu cha mtoto wa kiume wakati kinakauka kikiangukia uume basi mtoto anakuwa 'si rizki', lakini nidhana isiyo na ukweli, japo sitaiita 'dhana potofu'.

Ni dhana ambayo kihistoria imetokana na mabibi zetu zamani hizo kugundua kuwa usipotunza kitovu cha mtoto, basi mtoto anapata ugonjwa na anakufa (umbilical sepsis), basi ili kuwashurutisha kina mama wawe makini kutunza vitovu vya watoto, ukatungwa 'uongo' ili kutisha wazazi..na umework kwani kina mama wako makini sana kutunza kitovu kisinangukie uume wa mtoto, in the mean time..wanasaidia kupunguza maambukizi ya kitovu.

Dhana hii imejengeka sana mpaka sasa hivi, hata wasomi wasioamini dhana hii...hawatake chance kudharau ili isije ikawa kweli na mtoto wao akawa si 'rizki'...mama watoto wangu hakulala siku ambayo kitovu cha mwanangu kilianguka..mpaka kilipoanguka asubuhi akahakikisha akikugonga ikulu ya mtoto ndio alipata usingizi!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
kwa imani ya kiswahili kitovu kikimuangukia kwenye uume wake
Wewe nae kila siku una post mada za kidaktari hapa nikadhani mtaalam wa kisayansi kumbe mganga wa kienyeji! Halafu tunashanga mpaka wagonjwa wa upele wanapekwa India. Wataalam wetu bado wanategemea imani za kichawi chawi!
 
H*nithi na Ms*nge ni watu wawili tofauti. Uhanithi tunaongelea uwezo wa mtu kudinda au la, unaweza ukawa h*nithi (huwezi kudinda) lakini sio ms*nge, wapo wengi tu kwa matatizo ya kisukari, kansa ya prostate, kansa ya kende/pumbu, ajali etc ambao hawawezi kudinda..lakini sio was*enge! Us*enge ni kuingiliwa kinyume na maumbile (kulawitiwa)...unaweza ukawa 'rijali' (unadindisha kama kawaida) lakini unapenda wanaume wenzako wakulawiti!


Riwa...natumai umesoma point yangu na umenielewa. Nimezungumzia wa.se.nge na wasagaji tu na ukisoma tena point yangu hutaona neno la hani.thi. Mfano mzuri ni huu uliotoa kusema kuwa ...'unaweza kuwa rijali lakini ukadinda na kupenda wanaume wenzako'... Yes, ni kweli na hao watu huitwa homophobics kama nilivyosema. Je, kuna nilipokosea na kukuchanganya akili?
 
Back
Top Bottom