Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,054
- 7,265
Anyway enzi zile iiyo zenj ngletwa Chato bila shakachato ipo zanzibar...
Anyway enzi zile iiyo zenj ngletwa Chato bila shakachato ipo zanzibar...
Zina torchHizi iPhone Zina vitu gani special?
Kuna bei ya aina mbili mpya mm ya 64 GB ni 800K na 256 ni 850K huku used ambayo ipo clean kabisa ni 700k Kila ukitaka zenye kipengere zinaanzia 600K karibu nipo kariakoo msimbazi
Mimi niko Arusha, Una tawi huku? Nahitaji mpya ya 256
Zanzibar iPhone X laki 5 mpyaaa
Xs unauzaje boss ya 64 na 128gb