don classic
Member
- Aug 24, 2020
- 35
- 37
Wakuu naomba kufahamishwa bei ya Iphone X kwa sasa. Pia nasikia kwa Zanzibari bei zinakuwa kidogo nafuu naomba pia mwenye kujua nilinganishe.
Asanteni
Asanteni
Tujuze na matatizo ya hizo used ili tujiandae kisaikolojiaZina anzia 700k mpaka 900 inategemea na storage.
Zenj ni 550-650.
Kwa ushauri wangu bora angesogea walau kwenye 11Kuna bei ya aina mbili mpya mm ya 64 GB ni 800K na 256 ni 850K huku used ambayo ipo clean kabisa ni 700k Kila ukitaka zenye kipengere zinaanzia 600K karibu nipo kariakoo msimbazi
Mimi niko Arusha, Una tawi huku? Nahitaji mpya ya 256Kuna bei ya aina mbili mpya mm ya 64 GB ni 800K na 256 ni 850K huku used ambayo ipo clean kabisa ni 700k Kila ukitaka zenye kipengere zinaanzia 600K karibu nipo kariakoo msimbazi
Agiza Zanzibar laki 5 mzigo unatua chapWakuu naomba kufahamishwa bei ya Iphone X kwa sasa. Pia nasikia kwa Zanzibari bei zinakuwa kidogo nafuu naomba pia mwenye kujua nilinganishe.
Asanteni
Tengua kauli kwanza ifahamike hiviZanzibar iPhone X laki 5 mpyaaa
Njoo tunywe mbege mekuIphone X ndio nini
zanzbar ipi hyo mkuu?Zanzibar iPhone X laki 5 mpyaaa
Ya chatoozanzbar ipi hyo mkuu?
Kweli ya chatooooYa chatoo
Nna mwanang aliagiza zenj kwa Bei iyoKweli ya chatoooo
Kama unabisha meza chupaKweli ya chatoooo
chato ipo zanzibar...Kama unabisha meza chupa