Naomba kueleweshwa: Wapinzani wanapambana na Hayati Magufuli au Rais Samia?

Wameamua kupambana na mzimu wa Magu wakidhani wataweza! Hawana jipya, wanatapatapa tu, tuwapuuze😡!
 
Wakati huu Uvccm muwe mnajua kula na kipofu wajameni.
Kwakifupi Nyumbu wote twendeni na mama ili akipitishwa tena na CCM 2025 apite kwa kishindo ili mama amalizie mchakato wa tume huru na katiba.au mnasemaje Bavicha?
 

wanampenda samia, ila wanamchukia marehemu

wanampenda samia na wako kimya juu ya CCM

wako kwenye mtego mbaya sana kwa sababu emotion ndio zimewatawala
 
Humo ndani kuna wale ma bwanyenye yaliyojimilikisha nchi kupitia miradi fake ambayo wanatamani sana kurudia yale maisha ya kuimbwa kwenye kumbi za starehe ili hali raia wa kawaida hawakuwa hata na panadol...Hawa ndiyo ambao nadhani wanatamani sana Mh. Rais ajiunge nao, bila kujua kwamba wananchi wakichachama watamgeuka kama walivyomgeuka mwenda zake....Maana wengi wa hao pia walibadili rangi zao ghafla wakati wa mwenda zake
 
Kwani baadhi ya Wabunge wa CCM wanapambana na Mwendazake?kinachoendelea hapa ni kufichua maovu yaliyokuewa yanafanyika chini ya Magufuli na kutishia jamii mzima kwa kutumia vyombo vya dola na magenge ya wauwaji.ndani ya ccm na serikali wanaonekana wasaliti (CAG) kama mawazo yangeruhusuwa
Ni miradi yake tu ingejadiliwa
 
Waachei wapinzani washushe mizigo mikubwa iliyowekwa mioyoni mwao kwa matendo ya mwedazake, hawakupata nafasi ya kufanya hivyo akiwa hai hivyo mazigira haya aliyajenga mweyewe!
 
Ni hatari sana kufunga breki ghafla, nguvu ya kupambana na Magufuli ilikuwa kubwa mno na ndo kwanza ilikuwa imeanza kushika kasi.

Kuondoka kwake ghafla inabidi kuserereka kidogo, kabla ya kusimama na kupanga mashambulizi upya.

Kwa kilugha rejea Newton’s First Law of Motion. [The law of Inertia].
 
Kwani nyumbu wanakuwaga na mwelekeo mkuu, wao kila upande ni wao yani zigzag tu.
 
They are battling with CCM using the two - one alive and the legacy of the other.
 
Nchi hii upinzani ukijiua 2015 baada ya Dr. Slaa kuwa expendable. Baada ya hapo kuna wachumia tumbo kwa mrija uitwao upinzani.
Hivi mtu kama Mbowe, Sugu, Msigwa, Lema unaweza kuwaita wachumia TUMBO!? Nahisi hi statement ya Uchumia TUMBO inaweza kua na maana tofauti na inayoeleweka; unless ndio tunaendelea na mwendo wetu ule ule wa Watanzania walio wengi kukariri mambo, kwamba ukita kubadiri mjadara, unatoa tu neno ambalo hata huna uhakika nalo; Mbowe kafungiwa accounts zake zote ili aunge mkono juhudi, mwamba kagoma kuunga mkono, Lema katishwa weee but still hakwenda ccm, kafunguliwa kila aaina ya case na hatimae wakaanza kumtishia kuuawa hadi katimkia zake Ughaibuni, Msigwa huyu ambaye ana uhusiano wa kindugu na mhe mwendazake, kama angekua mchumia TUMBO i hope huyu ndio angekua wa kwanza na huenda angelambishwa nafasi. Tafuta neno lingine kwa hawa watu; Dr. Slaa unaemsifia, hivi huyu mwishoni pale wakati ndio ccm imempendekeza Mwendazake kua mgombea, hakumnanga? Huyu huyu tena akaenda kujiunga nae, hapo ni nani mchumia tumbo between him na hawa waliobaki?
Kama kweli mama atafanya alichokisema then naona kabisa mama kaamua ku blend siasa za Kikwete na Mwendazake kwa pamoja, ngoja tuone cause Kikwete alikua mwana demokrasia hasa na maendeleo ya vitu tuliyaona but na UPINZANI au demokrasia nchini ilikua kwa kasi sana; ukuaji wa uchumi wa enzi za JK nadhani bado record haijavunjwa hadi sasa so i think, maendeleo na demokrasia ni kama mapacha
 
Tangu lini Nyumbu wakamtakia mema rais Samia hadi wampangie cha kufanya?

Hangaikeni na mzee wa MIGA mtetezi wa mashoga.
 
Matatizo ya nchi hii yalikolezwa moto na marehemu dikiteta magufuli, so ili tunyamaze inabidi mpaka tuhakikishe funza wameumaliza mzoga wote uliofukiwa pale chattle
 
Msituhamishe kwenye reli
 
Wanapambana na mifumo mibovu ya nchi hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…