Wameamua kupambana na mzimu wa Magu wakidhani wataweza! Hawana jipya, wanatapatapa tu, tuwapuuze😡!Kila nikitazama mijadala kwenye mitandao ni kama wapinzani bado wapo kwenye mapambano na hayati Magufuli.
Rais na mwenyekiti wa sasa wa CCM mama Samia ni kama hawana tatizo nae, anawakosha sana na wanamtumia kuwaumiza wafuasi wa Magufuli.
Kwa wataalam wa siasa hii ina maana gani kwa siasa za upinzani?
Tutegemee battle ya wapinzani na Magufuli mpaka wakati wa uchaguzi 2025 au hapo katikati wataamishia vita yao kwa mama Samia?
Binafsi naona siasa za Magufuli zitatawala sana awamu hii maana naona Samia kaamua mapema kujifungamanisha na Magufuli.
Nilidhani nawe ungeamua kumfuata mumeo akheraNchi hii upinzani ukijiua 2015 baada ya Dr. Slaa kuwa expendable. Baada ya hapo kuna wachumia tumbo kwa mrija uitwao upinzani.
Kila nikitazama mijadala kwenye mitandao ni kama wapinzani bado wapo kwenye mapambano na hayati Magufuli.
Rais na mwenyekiti wa sasa wa CCM mama Samia ni kama hawana tatizo nae, anawakosha sana na wanamtumia kuwaumiza wafuasi wa Magufuli.
Kwa wataalam wa siasa hii ina maana gani kwa siasa za upinzani?
Tutegemee battle ya wapinzani na Magufuli mpaka wakati wa uchaguzi 2025 au hapo katikati wataamishia vita yao kwa mama Samia?
Binafsi naona siasa za Magufuli zitatawala sana awamu hii maana naona Samia kaamua mapema kujifungamanisha na Magufuli.
Humo ndani kuna wale ma bwanyenye yaliyojimilikisha nchi kupitia miradi fake ambayo wanatamani sana kurudia yale maisha ya kuimbwa kwenye kumbi za starehe ili hali raia wa kawaida hawakuwa hata na panadol...Hawa ndiyo ambao nadhani wanatamani sana Mh. Rais ajiunge nao, bila kujua kwamba wananchi wakichachama watamgeuka kama walivyomgeuka mwenda zake....Maana wengi wa hao pia walibadili rangi zao ghafla wakati wa mwenda zakeIko hivi, wapinzani wanajua Magufuli aliwamaliza wakakosa sera na kutupwa kule. Wakakosa hoja, na ushawishi. Wakadharaulika na kukosa kura. Hii yote ni kutokana na uzalendo, ujasiri, ubunifu, uchapakazi, utambuzi, akili na maono ya Magu.
Na kwa sababu siyo wabunifu ikabidi wakimbilie mitandaoni na kuanza kutukana, kupiga propaganda za kuchafua, lakini kwa miaka 5 haikuwasaidia! Watanzania wakaonyesha support kubwa sana kwa Magu.
Ndiyo maana hata baada ya kifo cha Magu bado wanateswa sana na kivuli cha Magu. Wanatumia nguvu sana kuonyesha Magu si kitu. Lakini kuna tofauti kubwa Kati ya propaganda na uhalisia! Na bahati mbaya mambo aliyoyafanya ni halisi na siyo superficial Kama lawama zao. Huwezi ukakosoa ujenzi wa miundo mbinu ambao hata kipofu anaona umepunguza foleni, umerahisha usafiri, umepunguza gharama za usafiri na maisha! Uwezi ukakosoa nidhamu ya watumishi wa umma kuimarika kwa kiasi kikubwa, huwezi ukalazimisha kwamba uchumi haujakuwa, huwezi ukadanganya kwamba majambazi wameongezeka, ajali zimeongezeka, rushwa imeongezeka wakati vyote hivyo vimepungua kwa kasi ya ajabu.
Kwa hiyo wanavyompamba SSH ili aache mbinu za Magu ambazo ni proved zimewapiga mieleka miaka 5, kwa mahesabu kwamba akilegeza watapata upenyo.
Na wakikata upenyo Muda ukifika utaona watakavyomshambulia SSH!
Kwani nyumbu wanakuwaga na mwelekeo mkuu, wao kila upande ni wao yani zigzag tu.Kila nikitazama mijadala kwenye mitandao ni kama wapinzani bado wapo kwenye mapambano na hayati Magufuli.
Rais na mwenyekiti wa sasa wa CCM mama Samia ni kama hawana tatizo nae, anawakosha sana na wanamtumia kuwaumiza wafuasi wa Magufuli.
Kwa wataalam wa siasa hii ina maana gani kwa siasa za upinzani?
Tutegemee battle ya wapinzani na Magufuli mpaka wakati wa uchaguzi 2025 au hapo katikati wataamishia vita yao kwa mama Samia?
Binafsi naona siasa za Magufuli zitatawala sana awamu hii maana naona Samia kaamua mapema kujifungamanisha na Magufuli.
They are battling with CCM using the two - one alive and the legacy of the other.Kila nikitazama mijadala kwenye mitandao ni kama wapinzani bado wapo kwenye mapambano na hayati Magufuli.
Rais na mwenyekiti wa sasa wa CCM mama Samia ni kama hawana tatizo nae, anawakosha sana na wanamtumia kuwaumiza wafuasi wa Magufuli.
Kwa wataalam wa siasa hii ina maana gani kwa siasa za upinzani?
Tutegemee battle ya wapinzani na Magufuli mpaka wakati wa uchaguzi 2025 au hapo katikati wataamishia vita yao kwa mama Samia?
Binafsi naona siasa za Magufuli zitatawala sana awamu hii maana naona Samia kaamua mapema kujifungamanisha na Magufuli.
Hivi mtu kama Mbowe, Sugu, Msigwa, Lema unaweza kuwaita wachumia TUMBO!? Nahisi hi statement ya Uchumia TUMBO inaweza kua na maana tofauti na inayoeleweka; unless ndio tunaendelea na mwendo wetu ule ule wa Watanzania walio wengi kukariri mambo, kwamba ukita kubadiri mjadara, unatoa tu neno ambalo hata huna uhakika nalo; Mbowe kafungiwa accounts zake zote ili aunge mkono juhudi, mwamba kagoma kuunga mkono, Lema katishwa weee but still hakwenda ccm, kafunguliwa kila aaina ya case na hatimae wakaanza kumtishia kuuawa hadi katimkia zake Ughaibuni, Msigwa huyu ambaye ana uhusiano wa kindugu na mhe mwendazake, kama angekua mchumia TUMBO i hope huyu ndio angekua wa kwanza na huenda angelambishwa nafasi. Tafuta neno lingine kwa hawa watu; Dr. Slaa unaemsifia, hivi huyu mwishoni pale wakati ndio ccm imempendekeza Mwendazake kua mgombea, hakumnanga? Huyu huyu tena akaenda kujiunga nae, hapo ni nani mchumia tumbo between him na hawa waliobaki?Nchi hii upinzani ukijiua 2015 baada ya Dr. Slaa kuwa expendable. Baada ya hapo kuna wachumia tumbo kwa mrija uitwao upinzani.
Kama kweli mama atafanya alichokisema then naona kabisa mama kaamua ku blend siasa za Kikwete na Mwendazake kwa pamoja, ngoja tuone cause Kikwete alikua mwana demokrasia hasa na maendeleo ya vitu tuliyaona but na UPINZANI au demokrasia nchini ilikua kwa kasi sana; ukuaji wa uchumi wa enzi za JK nadhani bado record haijavunjwa hadi sasa so i think, maendeleo na demokrasia ni kama mapachaHapana, Samia amewazidi akili anaicheza game ya upinzani na ya Magufuli kwa wakati mmoja. Makundi yote yapo dilemma ila lenye kushinda litakuwa la Magufuli sababu wote awa na Samia ni ccm na kuna maeneo watapishana ila ikifikia lengo la kubaki madarakani lao ni moja na tofauti uwa zinawekwa kando.
Hawana tatizo na wafu bali wanapambana ili kukuokoa wewe ambae hadi leo huna ufahamu 'haujaota' kichwani kwako>Kila nikitazama mijadala kwenye mitandao ni kama wapinzani bado wapo kwenye mapambano na hayati Magufuli.
Kusaga sumu ni laana.mpinzani mwenye akili alikuwa Slaa tu, wengine wameshikiwa akili na Mbowe
Msituhamishe kwenye reliKila nikitazama mijadala kwenye mitandao ni kama wapinzani bado wapo kwenye mapambano na hayati Magufuli.
Rais na mwenyekiti wa sasa wa CCM mama Samia ni kama hawana tatizo nae, anawakosha sana na wanamtumia kuwaumiza wafuasi wa Magufuli.
Kwa wataalam wa siasa hii ina maana gani kwa siasa za upinzani?
Tutegemee battle ya wapinzani na Magufuli mpaka wakati wa uchaguzi 2025 au hapo katikati wataamishia vita yao kwa mama Samia?
Binafsi naona siasa za Magufuli zitatawala sana awamu hii maana naona Samia kaamua mapema kujifungamanisha na Magufuli.
Wanapambana na mifumo mibovu ya nchi hii.Kila nikitazama mijadala kwenye mitandao ni kama wapinzani bado wapo kwenye mapambano na hayati Magufuli.
Rais na mwenyekiti wa sasa wa CCM mama Samia ni kama hawana tatizo nae, anawakosha sana na wanamtumia kuwaumiza wafuasi wa Magufuli.
Kwa wataalam wa siasa hii ina maana gani kwa siasa za upinzani?
Tutegemee battle ya wapinzani na Magufuli mpaka wakati wa uchaguzi 2025 au hapo katikati wataamishia vita yao kwa mama Samia?
Binafsi naona siasa za Magufuli zitatawala sana awamu hii maana naona Samia kaamua mapema kujifungamanisha na Magufuli.