Naomba kueleweshwa kuhusu Iphone 6 na Iphone 6 plus

Naomba kueleweshwa kuhusu Iphone 6 na Iphone 6 plus

Naamini hakuna na kama wapo hawana majigambo kama watu wanaobwabwaja humu bila vitendo, tumeona watu (geeks) wanavyoichakachua (jailbreak) iOS na wamekuwa kifua mbele kutudhibitishia hilo na tumeona karibia kila version ya iOS imekuwa jailbreak hili mbona hatubishi!? Kwenye ukweli tuwe wakweli kwenye uhalisia tuwe halisi, sio mtu unakuja unasema inawezekana halafu tukikwambia dhibitisha mtu anabaki kutoa nadharia tu, ili uweze kubypass icloud activation huna budi kutoa kill switch chip na ukifanikiwa kutoa hiyo kill switch basi huna mawasiliano labda hiyo simu ibaki kama ipod tu. Na ikiwa kuna mtu atakuja kuniprove wrong kwa vitendo nitabadili msimamo

Humu kuna watu wapuuz sana hasa huyo anaetoa icloud sasa anatoa hyo icloud af badae sim inatumia wi-fi peke ake sas ina maana gani ya Simu mana kama kaz ya iphone ni sim ya mkonon af badae ukatoa icloud ukatumia wi-fi Only n upuuz sasa inakua sio iphone tena kwahyo MPAKA SASA ICLOUD HAINA MPINZANI HUKO ULAYA WAMEHANGAIKA SANA NA HUYO MTOA ICLOUD KAMA UNGEWEZA KUIRUDISHA IPHONE VILE VILE KAMA MWANZO ANGEKUA ANAMFUKUZIA BILL GATES UTAJIRI
NA MAGAZETI YANGEKUANDIKA KUA MTU WA KWANZA MWENYE NGOZI YA RANGI YA MATAIRI('Muafrika) KUA BILIONEA KUMFIKIA BILL GATES
 
Hii ni A1528 mkuu
Hiyo model ni kwa ajili ya soko la China lakini nimeona hizo simu zina band ya 1(2100) ambayo pia Voda wanaitumia kwenye LTE, sasa sijaona ni kwa nini imeshindwa kushika hiyo 4G, ndo maana nikauliza kwanza hiyo simu umeiwezesha 4G by default!? Hebu nenda settings - > cellular - > cellular data options kisha chagua LTE halafu ulete mrejesho
 
Hiyo model ni kwa ajili ya soko la China lakini nimeona hizo simu zina band ya 1(2100) ambayo pia Voda wanaitumia kwenye LTE, sasa sijaona ni kwa nini imeshindwa kushika hiyo 4G, ndo maana nikauliza kwanza hiyo simu umeiwezesha 4G by default!? Hebu nenda settings - > cellular - > cellular data options kisha chagua LTE halafu ulete mrejesho

Hapo kwenye cellular data hakuna LTE, ni 3G tu Mkuu
 
Hapo kwenye cellular data hakuna LTE, ni 3G tu Mkuu
May be ni software problem maana hakuna iphone 5s isiyokuwa na LTE, hebu subiri September 13 watakapotoa iOS 10 ujaribu kufanya update uone kama kuna changes yoyote
 
Hamna kipya nimetumia. Hamna mtu atajaribu kutoa hela mfukoni kununua iphone walio nazo wengi wamepewa na nndugu zao waliokurupuka kununua au wametumiwa kutoka ulaya

Research ako utakua umeifanyia kwa wadananda watu tumenunua iphone toka 2009 ile 3GS mpaka leo tuko kwenye iphone 6s na hyo 7 february mwakan tunaweka mkonon kama kawaida
 
Exploding Galaxy Note 7 wipes out family’s Jeep


By Luke Dormehl • 5:45 am, September 8, 2016

Screen-Shot-2016-09-08-at-11.47.59-780x455.png

Probably not the Galaxy ad Samsung was hoping for!
Photo: Fox 13
An exploding Samsung Galaxy Note 7 smartphone has reportedly totaled the Jeep Grand Cherokee of a family in St. Petersburg, just days after Samsung issued a worldwide recall for its hottest new smartphone.

Owner Nathan Dornacher said that he and his wife went to a yard sale over Labor Day weekend. While unloading a desk they’d bought for their daughter, Nathan left his new Note 7 to charge in his vehicle.


When they asked their 8-year-old daughter to get back into the vehicle so the family could go and run some errands, the family dog alerted Mr. Dornacher to the fact something was wrong. When he looked, he saw that the Jeep Grand Cherokee was on fire.

In a statement to FOX 13 News, a Samsung representative confirmed that it is aware of the incident and is doing everything it can for Mr. Dornacher.

“Consumer safety is Samsung’s highest priority,” the spokesperson said. “With regard to the Galaxy Note7, we are asking owners to take advantage of the Product Exchange Program announced on Friday of last week. The program offers Note 7 owners the opportunity to exchange the phone for a new one.”

Initial feedback to the Note 7 was strong when it was recently launched. However it didn’t take long for reports that some Galaxy Note 7 handsets were randomly exploding while on charge. Samsung claims just 24 in every 1 million units is at risk of exploding, but issued a total global recall all the same.

With yesterday’s announcement of the iPhone 7 and 7 Plus, the recall couldn’t have come at a worse time for Samsung — although stories like this one show why it was absolutely the only move Samsung could have made. Total costs for Samsung for the recall are likely to cost in the vicinity of $1 billion.

Fortunately no-one has yet been injured.

Source: Fox10Phoenix
 
Exploding Galaxy Note 7 wipes out family’s Jeep


By Luke Dormehl • 5:45 am, September 8, 2016

Screen-Shot-2016-09-08-at-11.47.59-780x455.png

Probably not the Galaxy ad Samsung was hoping for!
Photo: Fox 13
An exploding Samsung Galaxy Note 7 smartphone has reportedly totaled the Jeep Grand Cherokee of a family in St. Petersburg, just days after Samsung issued a worldwide recall for its hottest new smartphone.

Owner Nathan Dornacher said that he and his wife went to a yard sale over Labor Day weekend. While unloading a desk they’d bought for their daughter, Nathan left his new Note 7 to charge in his vehicle.


When they asked their 8-year-old daughter to get back into the vehicle so the family could go and run some errands, the family dog alerted Mr. Dornacher to the fact something was wrong. When he looked, he saw that the Jeep Grand Cherokee was on fire.

In a statement to FOX 13 News, a Samsung representative confirmed that it is aware of the incident and is doing everything it can for Mr. Dornacher.

“Consumer safety is Samsung’s highest priority,” the spokesperson said. “With regard to the Galaxy Note7, we are asking owners to take advantage of the Product Exchange Program announced on Friday of last week. The program offers Note 7 owners the opportunity to exchange the phone for a new one.”

Initial feedback to the Note 7 was strong when it was recently launched. However it didn’t take long for reports that some Galaxy Note 7 handsets were randomly exploding while on charge. Samsung claims just 24 in every 1 million units is at risk of exploding, but issued a total global recall all the same.

With yesterday’s announcement of the iPhone 7 and 7 Plus, the recall couldn’t have come at a worse time for Samsung — although stories like this one show why it was absolutely the only move Samsung could have made. Total costs for Samsung for the recall are likely to cost in the vicinity of $1 billion.

Fortunately no-one has yet been injured.

Source: Fox10Phoenix
Mmejifungia mkatunga uongo ili iphone 7 iuze? Hamkuna kipya kwenye iphone 7. Technology ya wireless za earphones ni ya miaka mingi tangu nabalehe natumia. Hiyo technology Samsung wako mbele sana mkuu tena wanaweza kutokua na hata tundu moja kwenye simu koz simu inaweza kuchargiwa wireless vile vile kuna earphones za Bluetooth.
 
Mmejifungia mkatunga uongo ili iphone 7 iuze? Hamkuna kipya kwenye iphone 7. Technology ya wireless za earphones ni ya miaka mingi tangu nabalehe natumia. Hiyo technology Samsung wako mbele sana mkuu tena wanaweza kutokua na hata tundu moja kwenye simu koz simu inaweza kuchargiwa wireless vile vile kuna earphones za Bluetooth.

We jamaa mbona unaongea ujinga?

Mauzo ya Flagships za Samsung hazijawahi kufikia hata nusu ya mauzo ya flagships za Apple.

Apple anatengeneza high end phones only, ila samsung anatengeneza hata zile takataka wanazotumia watu kama wewe.
 
We jamaa mbona unaongea ujinga?

Mauzo ya Flagships za Samsung hazijawahi kufikia hata nusu ya mauzo ya flagships za Apple.

Apple anatengeneza high end phones only, ila samsung anatengeneza hata zile takataka wanazotumia watu kama wewe.
Hehehehe nacheka sana eti mauzo ya nini hayajawahi kufikia nini? Weka kumbukumbu sawa hapa hakuna cha ujinga wala ushabiki ni uvivid only
 
Wakuu ni app gani kwenye iPhone ya kuweza kudowload move...msaada wakuu
 
Samahani mkuu!. Nina iPhone 5, nlikuwa naitumia vizuri siku zote lakini imepata tatizo ambalo linanifanya nisi-succeed matumizi yangu, kwa maana halisi imejifunga... Inaniandikia iPhone is disabled halafu chini yake inaandika connect to iTunes. Siwezi kufanya chochote... Nisaidie ili niweze kuifungua na kuirudisha kwenye matumizi maana juzi nimedownload application ya iTunes kwenye desktop yangu lakini kila nikiangalia tutorials software inayotumika ni ya kuextract na ilhali kwangu nikifungua iTunes inanipeleka kwenye ku-download items... Nimechanganyikiwa sana hapa nilipo
 
kaka kama una device yoyote nlotaja apo juu noomba chuku namba hii 0765096851 ni tafte tufanye kaz na mm co chizi mpaka niandike kitu kama ichi inamaananina uhakika aslimia 100% tafadhr naomba uni heshmu tu kama una kazi lete ko Aple ndo wamekua Miungu izo seva zao hazitikisiki
Mkuu wewe si ungekuwa millionaire sasa hivi kipindi C I A au F B I walikuwa wanatafuta MTU wa kufungua hiyo I cloud ya iPhone ya yule maarabu I phone siyo techno mkuu labda techno yangu ikzingua nitakupa kazi


Cc Chacha95
 
kaka kama una device yoyote nlotaja apo juu noomba chuku namba hii 0765096851 ni tafte tufanye kaz na mm co chizi mpaka niandike kitu kama ichi inamaananina uhakika aslimia 100% tafadhr naomba uni heshmu tu kama una kazi lete ko Aple ndo wamekua Miungu izo seva zao hazitikisiki
Mkuu unaweza kunitolea icloud kwenye iPhone 5s?
 
Back
Top Bottom