Naomba kueleweshwa kuhusu Iphone 6 na Iphone 6 plus

Naomba kueleweshwa kuhusu Iphone 6 na Iphone 6 plus

IPhone 6plus ni simu ya kisasa kabisa. Alafu battery yake iko vizuri sana inunue hutajutia hela yako.
Kujutia hela kupo tu mkuu inategemea nahitaji satisfaction ipi katika manunuzi yangu. Kila kitu kina point ya kukienjoy na kukudiappoint pia. Kwanza ajue anataka nn kutoka kwenye hyo device na pili ajue atakosa vilevile
 
Ni simu nzuri ila sikushauri ununue kama hauko vizuri financially,
1473312209514.jpg
1473312219805.jpg
 
Sijadili lolote...[emoji57][emoji57].. Maana hiyo hela yenyewe ya kununulia mpaka nivunje kikoba... [emoji57][emoji57]
 
najua ivo vitu zaid ata unavo hisi io mashine unayo isema wewe haitoi loki inaitwa ic programer tool machine ina husika na issue za ku read data kufix blocks kwenye HDD zilizo corrupt na error mbalmbal ku write S/N na imei kwenye Nanda chip nK.. usa
lama upo saana na io icloud ukisha itoa jua data ztaftika ndo itoke ni ngum sana kutoa icloud uk data zbak ad u unlock data zina kuaga erased ko unakuta kitu aina data zote but securement Apple wapo vzur zaid nasaiv pia kuna njia inaitwa Nand exploit unatoa icloud kwakutumia setup.app ilo kuwa patched {hii wanaita kurestore CFW} una ngoa icloud but Inakua haina service amean line haisomi only wifi tu na wAy ipo applicable kwa iphone 5'Generations na baadh ya 6 Genetations kk bob
[emoji32][emoji32][emoji32]......[emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]
Duuhh...!!!!.. Hiyo lugha ya kiufundi...???...
 
Mkuu nimenunua iPhone 5s nimeweka laini ya voda lakini eti haina uwezo wa 4g, kuna njia nyingine ya kufanya?
Mnahangaika na hizo voda za nini? Weka halotel hutajutia hela yako
 
Ujisitudanganye kwamba hamna namna ya kubypass apple security. Hiyo system imetengenezwa na watu sio malaika au Sir GOD. Nnachofaham mimi ni kwamba in any action there's equal and opposite reaction labda hyo sheria ukaitengue angani (space).
Of course unaweza kuwa sahihi lakini usahihi wako utaonekana kwa vitendo tu sio kwa maneno, security ndio heart ya Apple kibiashara, hataweza kuwaruhusu watu kama nyie mnaowaza kuwa hakuna kisichowezekana mmharibie biashara. Na kwa jinsi mnavyozidi kusema hakuna kisichowezekana na ndivyo jamaa wanazidi kukaza security
 
Of course unaweza kuwa sahihi lakini usahihi wako utaonekana kwa vitendo tu sio kwa maneno, security ndio heart ya Apple kibiashara, hataweza kuwaruhusu watu kama nyie mnaowaza kuwa hakuna kisichowezekana mmharibie biashara. Na kwa jinsi mnavyozidi kusema hakuna kisichowezekana na ndivyo jamaa wanazidi kukaza security
Mkuu wewe unaamini kuwa tofauti na Apple wenyewe hakuna wengine wanaoweza kubypass hiyo icloud?
 
No inasoma 3G only, nimeweka laini ya voda na nimekwenda branch ya voda wakasema haiwezi shika, labda unisaidie kama kuna njia nyingine kwa busara
Hebu angalia model number nyuma ya hiyo simu, mfano itakuta imeandikwa A1530 au A1533 au anything kama hicho halafu leta hapa mkuu
 
Mkuu wewe unaamini kuwa tofauti na Apple wenyewe hakuna wengine wanaoweza kubypass hiyo icloud?
Naamini hakuna na kama wapo hawana majigambo kama watu wanaobwabwaja humu bila vitendo, tumeona watu (geeks) wanavyoichakachua (jailbreak) iOS na wamekuwa kifua mbele kutudhibitishia hilo na tumeona karibia kila version ya iOS imekuwa jailbreak hili mbona hatubishi!? Kwenye ukweli tuwe wakweli kwenye uhalisia tuwe halisi, sio mtu unakuja unasema inawezekana halafu tukikwambia dhibitisha mtu anabaki kutoa nadharia tu, ili uweze kubypass icloud activation huna budi kutoa kill switch chip na ukifanikiwa kutoa hiyo kill switch basi huna mawasiliano labda hiyo simu ibaki kama ipod tu. Na ikiwa kuna mtu atakuja kuniprove wrong kwa vitendo nitabadili msimamo
 
Back
Top Bottom