Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,848
Bahati nzuri devices za Apple ni ghari sana hivyo watu wengi hawana uwezo wa kuzimiliki vinginevyo ungekuwa umeshawatapeli watu wengi sana.na uc cho kiweza wewe co watu wote hawakiwezz
*The biggest mistake u can do in this Life if to Give up*
There is no way to bypass the iCloud Activation Lock. Apple made to make sure no one steals anyone's iPhone.
Bahati mbaya ni kuwa watu wote wanaomiliki iDevices ni wajanja wa mjini, ukikuta mtu anahangaika kutoa Apple iCloud Activation Lock ndo nyie mnawaingiza mjini