Naomba kueleweshwa kuhusu Iphone 6 na Iphone 6 plus

Naomba kueleweshwa kuhusu Iphone 6 na Iphone 6 plus

k
aka pass ode inaondolewa endapo tu cmu haina icloud account then unaondoa kwa itunes through restore or 3u tools thro flashing ipsw pia iCloud inaondolewa kwa njia mbal mbal but icloud pia inatoka af pia tena passcode znatoka kwa njia ya IP Box ata kama cm ina icloud ipbox inatoa so kilakitu kinawezekan kka
Nina iPad Air cellular ina iCloud, nipo Dar, unapatikana wapi kesho nikuletee untolee na gharama sh.ngapi? Chacha95
 
Samahani mkuu!. Nina iPhone 5, nlikuwa naitumia vizuri siku zote lakini imepata tatizo ambalo linanifanya nisi-succeed matumizi yangu, kwa maana halisi imejifunga... Inaniandikia iPhone is disabled halafu chini yake inaandika connect to iTunes. Siwezi kufanya chochote... Nisaidie ili niweze kuifungua na kuirudisha kwenye matumizi maana juzi nimedownload application ya iTunes kwenye desktop yangu lakini kila nikiangalia tutorials software inayotumika ni ya kuextract na ilhali kwangu nikifungua iTunes inanipeleka kwenye ku-download items... Nimechanganyikiwa sana hapa nilipo

IMG_1475257409.873163.jpg
 
Wakuu msaada jinsi ya kuingia app ya iTunes Store ya miziki na ya videos
 
Jaman kwa wale wanaopenda kujifunza ku bypass apple securities mfano icloud bure kuna njia ckuiz ya ku patch CFW waende Youtube kunajamaa zkuiz ni mpya anajiita GeoSn0w au una google unaandika F.C.E 365 tv utaona ananjia nying za kubypass icloud kwa iphone 5 models na 6 lakini madhara ya njia yake nkwamba unapo bypass una softbrick baseband inayopelekea kuuwa wildcard tiket kitu kinacho inyima cm ic shike mtandao ko cm utaweza kuitumia kwa WiFi tu lkn Icloud itatoka mi nsha jarb iphone 6 ikatoka icloud kimbembe kikaja kwenye ku fix No Service ndo nmestuck apo so if ur interested with exploring apple securities chek t out njia ni ngum kdogo kwa beginers but wenye uelewakdogo na system files znazokuapo ndan ya jailbraked iphone c o ngum kwao. NYC time
icloud iko somewhat embedded na baseband IC za izo iphones...maana najua kuna hardware workaround ya ku replace hii chip katika idevices ...naona uyu jiniaz limekuja ki software zaidi kudil na ayo mambo...
 
Iphone ni cm ambayo ukitumia uwezi juta
Ila nakushauri kwa sasa ni bora ununue 6s kuliko iphone 6
Sababu kubwa ni moja kupokea update ya IOS
Na ios ndio utam ulipo lala maana hiyo kitu ndio inabadili cm yako na kuwa na mambo mengi zaid kutokana na toleo jipya la ios.
Iphone zote ambazo sio s series mfano iphone4,5,6 zinauwezo wakupokea update miaka 3 tuu wakata zilizo katika s series kama 4s,5s,6s hizi upokea update kwamiaka 4.
Iphone 6 imetoka 2014 ikiwa imekuja na ios 8, imeweza pokea update ya ios 9 iliyo toka na iphone 6s na ios 10 iliyotoka na iphone 7 itaweza kupokea iso 11 tu ambayo itatoka na iphone 7s ambayo itatoka September mwaka huu na itakuwa ya mwisho
Lakini 6s itapokea update hadi ya ios
 
Iphone 6s itapokea hadi ios 13 na kukufanya muda wote ufurahie apps za apple store
 
Iphone 6s itapokea hadi ios 13 na kukufanya muda wote ufurahie apps za apple store
Bro unatumia iphone gani
Ulinunua bei gani



Unapata wap hizi info very in depth analysis of scores and results za iphone ambazo watu wengine hawajafikia ujuz wa kujua hivi vitu kuhusu update za ios na mac bila kusaha usb type c macbook pro charger the best iphone we have ever made
 
Bro unatumia iphone gani
Ulinunua bei gani



Unapata wap hizi info very in depth analysis of scores and results za iphone ambazo watu wengine hawajafikia ujuz wa kujua hivi vitu kuhusu update za ios na mac bila kusaha usb type c macbook pro charger the best iphone we have ever made

Mi nimeanza tumia iphone 3gs ikiwa cm yangu yakwanza ya iphone nikaja iphone 6 ambayo nilinunu VIVA tower, kwa sasa nipo masomon nje ya nchi nategemea kununua iphone 7s ambayo itakuwa na utofaut sana na iphone 7
Na iphone7 haina utafaut mkubwa na iphone 6s na wote wataishia ios 13. Ndio maana hata apple awajaitangaza sana iphone 7 ila 7s amin itakuwa tofaut sana.
Pia apple huwa wanabadili design ya cm baada ya miaka 3
Hapo utaona iphone 2,3,3gs hazikuwa na tofaut sana, iphone 4,4s na 5 pia hazikuwa na tofaut kubwa sana, iphone 6,6s na 7 pia hazina tofauti kubwa sana ila 7s tunategemea kuwa na utofaut mkubwa wa designing na engineering
 
Mi nimeanza tumia iphone 3gs ikiwa cm yangu yakwanza ya iphone nikaja iphone 6 ambayo nilinunu VIVA tower, kwa sasa nipo masomon nje ya nchi nategemea kununua iphone 7s ambayo itakuwa na utofaut sana na iphone 7
Na iphone7 haina utafaut mkubwa na iphone 6s na wote wataishia ios 13. Ndio maana hata apple awajaitangaza sana iphone 7 ila 7s amin itakuwa tofaut sana.
Pia apple huwa wanabadili design ya cm baada ya miaka 3
Hapo utaona iphone 2,3,3gs hazikuwa na tofaut sana, iphone 4,4s na 5 pia hazikuwa na tofaut kubwa sana, iphone 6,6s na 7 pia hazina tofauti kubwa sana ila 7s tunategemea kuwa na utofaut mkubwa wa designing na engineering
Ngoja nikufundishe sasa apple fan boy

Iphone7s na 7s+ zitafanana hivyo hivyo na hiyi ulionayo sasa ila internal zake zitakuwa upgraded

Iphone itakayotoja tofauti ni iphone 8 ambayo surprisingly itatoka mwak huu huu itakuwa iphone ya kutimiza miAka 10 ya iphone since iphone classic au 2g whichever you want to call it ilitoka 2007

Itakuwa haina home button

Fingerprint sensor itakuwa embedded kwenye display
Itakuwa haina iphone jack ya 3mm
Itakuwa full glass design
Itakuwa na wireless charging(finally) ila itakuwa ni wireless charging next level yaani ukiingia tu chumbani automatically ina charge(lKin hii ni rumour unconfirmed)
Itauzwa kati ya 999$ hadi1299$ according to my sources [HASHTAG]#bloomberg[/HASHTAG]
 
Ngoja nikufundishe sasa apple fan boy

Iphone7s na 7s+ zitafanana hivyo hivyo na hiyi ulionayo sasa ila internal zake zitakuwa upgraded

Iphone itakayotoja tofauti ni iphone 8 ambayo surprisingly itatoka mwak huu huu itakuwa iphone ya kutimiza miAka 10 ya iphone since iphone classic au 2g whichever you want to call it ilitoka 2007

Itakuwa haina home button

Fingerprint sensor itakuwa embedded kwenye display
Itakuwa haina iphone jack ya 3mm
Itakuwa full glass design
Itakuwa na wireless charging(finally) ila itakuwa ni wireless charging next level yaani ukiingia tu chumbani automatically ina charge(lKin hii ni rumour unconfirmed)
Itauzwa kati ya 999$ hadi1299$ according to my sources [HASHTAG]#bloomberg[/HASHTAG]

Sawa mkuu siwez kukubishia nimesema wanatoa toleo la tofaut baada ya miaka 3
Angalia iphone 5s utaona inautofaut mkubwa na iphone 5
Wakat iphone 4,4s,5 zinafanana kwa karibu sana
 
Ngoja nikufundishe sasa apple fan boy

Iphone7s na 7s+ zitafanana hivyo hivyo na hiyi ulionayo sasa ila internal zake zitakuwa upgraded

Iphone itakayotoja tofauti ni iphone 8 ambayo surprisingly itatoka mwak huu huu itakuwa iphone ya kutimiza miAka 10 ya iphone since iphone classic au 2g whichever you want to call it ilitoka 2007

Itakuwa haina home button

Fingerprint sensor itakuwa embedded kwenye display
Itakuwa haina iphone jack ya 3mm
Itakuwa full glass design
Itakuwa na wireless charging(finally) ila itakuwa ni wireless charging next level yaani ukiingia tu chumbani automatically ina charge(lKin hii ni rumour unconfirmed)
Itauzwa kati ya 999$ hadi1299$ according to my sources [HASHTAG]#bloomberg[/HASHTAG]

Iphone 8 haitakuwa na tofauti mkubwa sana wakiutendaji na iphone 7s ila itakuwa na tofaut kimuonekano na zote zitaishia ios 15.
Mfano iphone 5s na iphone 6 kiutendaji hazina tofauti kubwa, 6s na 7 pia zipo hivyo
Kama kweli unafalia lia cm
Ila pia unaweza check hata apple.com utofaut wa 6s na 7 au 6s+ na 7+
 
Sawa mkuu siwez kukubishia nimesema wanatoa toleo la tofaut baada ya miaka 3
Angalia iphone 5s utaona inautofaut mkubwa na iphone 5
Wakat iphone 4,4s,5 zinafanana kwa karibu sana
Iphone 5 na 5s ni identical.....ukiona iphonr imepewa s maana yake ni speed....kwa hiyo inakuwa vile vile ila upgrade ya internals

But at the end of the day swala la msingi mi ni kijamaa kimoja chokambaya sijawah hata kuiona iphone 6 in real life sim ya iphone niliowah kuishika kwa sekunde kadhaa ni 3gs

Sim ya bei mbaya kuwah kununua na kumiliki ni tecno y4

So dont take anything i say seriously bye
 
Back
Top Bottom