Iphone 5 na 5s ni identical.....ukiona iphonr imepewa s maana yake ni speed....kwa hiyo inakuwa vile vile ila upgrade ya internals
But at the end of the day swala la msingi mi ni kijamaa kimoja chokambaya sijawah hata kuiona iphone 6 in real life sim ya iphone niliowah kuishika kwa sekunde kadhaa ni 3gs
Sim ya bei mbaya kuwah kununua na kumiliki ni tecno y4
So dont take anything i say seriously bye
Uhm siri imeanzia 4sNje ya speed kaka ila engineering ya cm inakuwa tofaut sana
Ndio maana utaona kuna common features kat ya iphone 5s na 6 mfano finger prints siri na vitu vingine
Kitu ambacho ni sawa pia kat ya 6s na 7
Ingia apple.com utaona hilo
Mi natumia iphone toka 2010 nikiwa na ios 4 mpaka sasa ios 10
3d touch imeanzia 6s
Mhhhh your right vitu ving vinaanza kuwekwa kwenye s models