mwalidebe
JF-Expert Member
- Mar 27, 2016
- 424
- 247
Ndugu zangu Mimi ni mgeni kwenye mambo ya kibenki kuna rafiki yangu nafanya naye biashara na ilitakiwa mwezi ulioisha anipe milioni nne ila toka tarehe 28 hadi Leo ananiambia kuwa cheki inasumbua,anasema yeye cheki amechukua CRDB Benki na ameipeleka NBC kwa amefuatilia wanamsumbua wakampa siku tatu amefuatlia bado hajafanikiwa.
Anasema kuwa cheki kutoka benki tofauti huwa zinasumbua,anasema kama ingekuwa ni CRDB kwa CRDB Ingechukua muda mfupi sana. Sasa ndugu zangu naomba uelewa Wa hii mambo ya Cheki,inakuwaje ikojeikoje na je jamaa yangu ni mkweli au ni lugha ya kunipoteza kwenye lengo.
Anasema kuwa cheki kutoka benki tofauti huwa zinasumbua,anasema kama ingekuwa ni CRDB kwa CRDB Ingechukua muda mfupi sana. Sasa ndugu zangu naomba uelewa Wa hii mambo ya Cheki,inakuwaje ikojeikoje na je jamaa yangu ni mkweli au ni lugha ya kunipoteza kwenye lengo.