Jamani Gaga, si mli resolve wenyewe kwamba yale si lazima yawe yamenisibu mimi ila naruhusiwa kuwakilisha ndugu na jamaa ambao hawajajiunga jf?! na si ndio maana nikasema yaliyopita myapotezee kwakuwa sasa hivi niko more than serious??Yaani muda wote tuliokupa ushauri kumbe ulikuwa unatupotezea muda tu, sasa utaoa uongo wako
Nahisi na hii ni porojo tu yaani ningejua hata nisingepoteza muda wangu kuchangia kwenye thread zako kha??
Yaani dah jamaa umeniudhi kweli yaani maushauri yote yale kumbe ni porojo?? Hufai!!
Mwone vile kwanza nitakushitaki kwa MOD!!!! Painkiller au PAW
Refer kwa ufafanuzi niliompa Gaga tafadhari.
Tena wewe ulini pm ukasema hutochangia thread zangu daima sasa kulikoni hapa?!
Refer kwa ufafanuzi niliompa Gaga tafadhari.
Tena wewe ulini pm ukasema hutochangia thread zangu daima sasa kulikoni hapa?!
hahaha! Dena ni mstaarabu sana..! ali ku PM! baadhi ya members wangeropoka hadharani na matusi
BTW ... good luck! nina swali ...! je akitokea ambaye hajatembea ( ku do) na wanaume zaidi ya mia, au ni bikira! je Hafai..?
Viper,; mtu aki ku pm ni between two parties communicating huna sababu ya kubisha ili ujipendekeze kwa Dena Amsi, kwanza hujasoma allinipm mangapi na lini changia mada mkuu acha ushambenga!hahaha! Dena ni mstaarabu sana..! ali ku PM! baadhi ya members wangeropoka hadharani na matusi
BTW ... good luck! nina swali ...! je akitokea ambaye hajatembea ( ku do) na wanaume zaidi ya mia, au ni bikira! je Hafai..?
Kama unayo radhi ya kumwaga mwaga tu usiogope, kuna nini unaogopa?! ila ukimwaga mboga nitamwga ugali shauri yako!Ha ha ha ha ha umenichekesha sana ngoja nisimwage radhi hadharani nimeamini hizi ni porojo u know what I mean!!!
Uwiiiiiiii yaani umenichekesha wewe jamaa sijui una nini asiee pole sana na kila la heri
Kama unayo radhi ya kumwaga mwaga tu usiogope, kuna nini unaogopa?! ila ukimwaga mboga nitamwga ugali shauri yako!
goodluck mwaya...sina usafiri na shape ya nguvu,ningejitosa.
Mtu mzima atishiwi nyau mkuu.
Kwa kuanzia natoa ahadi ya mchango wa harusi yako 500,000 Tshs. Im out naona umekuwa mkali kwangu
Eti eeh? kama vipi mkuu nisaidie nibadilishe hivyo viegezo, manake mpaka sasa ukweli hajajitokeza hata mmoja sio kwamba wamejitokeza wachache hata hao wachache hakuna yaani! au sijui nina sura mbaya kiliniponza ushamba wangu wa ugeni kwenye jf nikaweka picha yangu halisi kwenye avatar kumbe wenzangu mnaweka za bandia!MULAMA , kwa kuwa wamejitokeza wachache so far , kwa nn usiongeze wigo kwa kubalidili hivo vigezo
Jst for a promo