Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,636
- 3,807
Habari JF,
Mimi nimepata ajali ya Bajaj, Bajaj hii inabima kuwa comprehensive ya 640000/=
Bajaj hii ni ya mkopo bima ni alliance insurance limited, Bado nafatilia report kituo Cha polisi.
Nilikuwa Nauliza kama Bajaj itatengenezwa inaweza kuchukua Muda gani?
Na kama nitapewa mpya inaweza kuchukua Muda gani?? Nizingatie mambo gani ili napate haki kwa haraka.
Naombeni ABC maana Bajaj hii ilikuwa Ina marejesho, na marejesho yapo pale pale.
Msaada.
Mimi nimepata ajali ya Bajaj, Bajaj hii inabima kuwa comprehensive ya 640000/=
Bajaj hii ni ya mkopo bima ni alliance insurance limited, Bado nafatilia report kituo Cha polisi.
Nilikuwa Nauliza kama Bajaj itatengenezwa inaweza kuchukua Muda gani?
Na kama nitapewa mpya inaweza kuchukua Muda gani?? Nizingatie mambo gani ili napate haki kwa haraka.
Naombeni ABC maana Bajaj hii ilikuwa Ina marejesho, na marejesho yapo pale pale.
Msaada.