Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,921
- 3,248
Mwisho wa siku nilijua itakusumbua ubuntu anatumia mtu mwenye uelewa kidogo wa haya mambo maana kuna software nyingine hata kuziinstall huwezi. Mimi laiti ningeweza pata softwares kama illustrator, photoshop, premier pro sony vegas za ubuntu ningeamia kabisa ubuntu kwakuwa nikitumia wine bottler still software hazi run smoothly kama navyotaka.
Mkuu, kwa kifupi ni kwamba hakuna program iliyopo window then Ubuntu hawana program kama hiyo.
Kwenye ubuntu kuna programs zinazofanya kazi kama Adobe, iTune, IDM, nk. na ambazo zipo window na ubuntu zipo ni kama VLC, MOZILLA NA CHROME (Ambazo ni program zinazotoa huduma zake free kwa kila mtu). Hivyo ukienda software centre utakuta programs ambazo ni kama zile za window sema hizo ni free na zinauwezo sawa na uluzozizoea wewe.
Program za Kuuzwa kama Photoshop n.k hatuzitaki ubuntu maana lengo la ubuntu ni kila mtu anufaike na OS.
Kama kuna program huioni software centre update PC yako utaona wameongeza programs mpya daily.
Mimi sionagi hata umuhimu wa WINE maana sina mpango na programs za window nimejizoesha za Ubuntu.