Naomba elimu kuhusu portable Air condition

new generation

JF-Expert Member
Mar 14, 2012
814
1,628
Wadau, naish nyumba ya kupanga hapa dsm, natafuta used portable air condition kwa ajil ya matumizi yangu nyumban hasa wakat wa kulala, ila pia ninaomba mwenye ufahamu wa hizi mashine anipe dondoo juu ya efficiency yake na pia ulaji wake wa umeme ukizingatia nimepanga. Lakin pia ngependa pata elimu juu namna ya ku-mantain ili kuifanya idumu, lakin pia namna ya kupunguza gharama wakat ntapokua naitumia..

Nataraji kupata ushirikiano wenu wapendwa.. Asante... Pia kwa mawasiliano napatikana 0719058458
 
Ushauri wangu ni hivi portable ac zipo za design 2 yenye pipe mbili (dual pipe) na pipe moja-single pipe, sasa single pipe ambazo ndo nyingi hapa bongo sio efficient.. kwakua zinatumia baridi la ndan kupoza compressor na kuutoa upepo nje,, so baridi ndan inapotea so na uneme unaenda sana,,angalau yenye pipe 2 ambapo pipe moja inatoa joto la compressor pipe nyingine inavuta hewa ya baridi nje kupoza compressor..

Ukichukua portable ac ya btu 12000 na ukachukua split unit ya same capacity (12000 btu) basi split unit ina perform vizuri kuliko portable..

so ilinibidi niiuze hii portable nkanunua split unit..

Pia portable ac ina kelele nyingi ndani kwakua compressor ipo ndan . Ila split unit ipo silent..

NB; usije changanya portable ac na aircooler
 
Ushauri wangu ni hivi portable ac zipo za design 2 yenye pipe mbili (dual pipe) na pipe moja-single pipe, sasa single pipe ambazo ndo nyingi hapa bongo sio efficient.. kwakua zinatumia baridi la ndan kupoza compressor na kuutoa upepo nje,, so baridi ndan inapotea so na uneme unaenda sana,,angalau yenye pipe 2 ambapo pipe moja inatoa joto la compressor pipe nyingine inavuta hewa ya baridi nje kupoza compressor..

Ukichukua portable ac ya btu 12000 na ukachukua split unit ya same capacity (12000 btu) basi split unit ina perform vizuri kuliko portable..

so ilinibidi niiuze hii portable nkanunua split unit..

Pia portable ac ina kelele nyingi ndani kwakua compressor ipo ndan . Ila split unit ipo silent..

NB; usije changanya portable ac na aircooler
Picha zake tafadhali?
 
Tofauti ya Air-cooler na Portable AC ni ipi new generation
Portable ac na aircooler zinaweza kidogo kufanana kwenye housing tu, but ufanyi wa kazi ni tofaut.


Air cooler ile ni pure fan ambayo inakua na pump ya maji ndani, ambayo hiyo pump inakua inapandisha maji juu ya aircooler then yale maji yanalowanisha kitambaa fulani kwa nyuma huku then kile kitambaa Kikiwa wet/kibichi kinatengeneza kaubaridi fulan, then kunakua na feni inachota ule ubaridi na kuupeleka nje (shida nu kwamba aircooler inataka maji ya baridi na baridi ikiisha kwenye yale maji basi jito ni kama kawaida kumbuka aircooler haina mechanisms ya ku maintain coldness ya maji)

But kwa portable ac ile ni pure air conditioner iliyo na refrigerant (r22 or r410a gas), compressor, condenser, expansion valve na evaporator kwahiyo hii inakua na mechanisms ya kutengenezea baridi yake yenyewe tofauti na aircooler.

Portable ac inakula umeme mwingi kuliko aircooler..
 
Portable ac na aircooler zinaweza kidogo kufanana kwenye housing tu, but ufanyi wa kazi ni tofaut.


Air cooler ile ni pure fan ambayo inakua na pump ya maji ndani, ambayo hiyo pump inakua inapandisha maji juu ya aircooler then yale maji yanalowanisha kitambaa fulani kwa nyuma huku then kile kitambaa Kikiwa wet/kibichi kinatengeneza kaubaridi fulan, then kunakua na feni inachota ule ubaridi na kuupeleka nje (shida nu kwamba aircooler inataka maji ya baridi na baridi ikiisha kwenye yale maji basi jito ni kama kawaida kumbuka aircooler haina mechanisms ya ku maintain coldness ya maji)

But kwa portable ac ile ni pure air conditioner iliyo na refrigerant (r22 or r410a gas), compressor, condenser, expansion valve na evaporator kwahiyo hii inakua na mechanisms ya kutengenezea baridi yake yenyewe tofauti na aircooler.

Portable ac inakula umeme mwingi kuliko aircooler..
Asante mkuu now nimepata mwanga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom