Unashitukaje kizembe hivyo!? Wakati ni swali tuSasa from nowhere tu unaUliza swal ambalo haliendan hata na mada mezan lazma nishtuke
One man down. Kijan kaleft groupUnavojikanyaga tu kujibu swali... Usiwaze Wala nn we ishi maisha yako tu
Picha umeiangalia vzuri?Anatupanga huyu. Je wewe ni Gay?
Noma sana zis worldOne man down. Kijan kaleft group
Sidhani ila nahisi io picha ni reflection ya mtu huyo huyo mmojaOne man down. Kijan kaleft group
Aiseh we msela unazingua bn umeshindwa kabisa kujikaza mwanangu daah.No why?
Hapana kitu kama hicho em angalia hiyo avatar vizuri hao ni watu mbili tofauti.Sidhani ila nahisi io picha ni reflection ya mtu huyo huyo mmoja
Kweli madam nimeona. Ni tofautiHapana kitu kama hicho em angalia hiyo avatar vizuri hai ni watu mbili tofauti.
Wewe ndo una akili sasaSidhani ila nahisi io picha ni reflection ya mtu huyo huyo mmoja
Mbona kama tofauti mkuu, au?Wewe ndo una akili sasa
Hao wote mimiKweli madam nimeona. Ni tofauti
Hatari sanaKweli madam nimeona. Ni tofauti
Kwan we ni me au ke?Aiseh we msela unazingua bn umeshindwa kabisa kujikaza mwanangu daah.
Inasikitisha sana aiseh.
Nisamee lkn kama nasema vibaya lkn duh
Mkuu hizo picha zimepigwa muda tofauti?Hao wote mimi
Ni editing mzee...mambo ya AIMkuu hizo picha zimepigwa muda tofauti?
Mmoja ana kauchebe, mwingine ana.
Mmoja ana dimpoz mwingine hana.
Hatari sanaKweli madam nimeona. Ni tofauti
Not so fast, sio simple ivoOne man down. Kijan kaleft group
Hapo sawa nimekuelewa,hata mwanzoni nilivyoangalia nilihisi hivyoNi editing mzee...mambo ya AI