Salaam wana JF,
Mada hapo juu yahusika, mimi ni Mtanzania mwenzenu niko hapa Canada Toronto, ajira ni ngumu kweli kweli na hata matapeli wamejaa usipokuwa makini unalizwa kweupe
Kama kuna mtu anaweza kutoa support please help au hata ushauri nini kifanyike, open work permitt ninayo. Suala ni ajira ipatikane nikusanye maokoto.
Ahsante!!