nimejaa tele,ishu vipi lakiniupo mkuu?
Invisible; kesho tunaanza Kwaresma, hivyo naomba uninyime access kwenye jukwaa lile lenye matusi, naogopa mipicha ile itanidhambisha!
Natanguliza shukrani!
Jamani si nimemsifia kuwa scientist mkuu! LOL
Invisible; kesho tunaanza Kwaresma, hivyo naomba uninyime access kwenye jukwaa lile lenye matusi, naogopa mipicha ile itanidhambisha!
Natanguliza shukrani!
Ha ha ha! Ngoja niattach!
Invisible; kesho tunaanza Kwaresma, hivyo naomba uninyime access kwenye jukwaa lile lenye matusi, naogopa mipicha ile itanidhambisha!
Natanguliza shukrani!
"Ukitaka kuhubiri dini usihubiri kwenye nyumba ya ibada kwani kule tayari "wameokoka".Sasa ban ya jukwaa la wakubwa unakuja kuiombea huku chit-chat?!!
MAPROSOO.