Invisible; kesho tunaanza Kwaresma, hivyo naomba uninyime access kwenye jukwaa lile lenye matusi, naogopa mipicha ile itanidhambisha!
Natanguliza shukrani!
Sasa ban ya bar na wale machangu wa corner bar na ohio atakusaidia nani? Usifunge kifarisayo! Learn how to lead your heart and mind, don't just follow them.
Invisible; kesho tunaanza Kwaresma, hivyo naomba uninyime access kwenye jukwaa lile lenye matusi, naogopa mipicha ile itanidhambisha!
Natanguliza shukrani!
Umeona eeh! Waswahili wanasema, sema shida yako usaidiwe, usiposema watajuaje?
Lkn Kongosho sema ukweli, ukiingia kule si unaharibu swaumu eeh!
Siku hivi hakuna ban ya hivi hivi,mods wanakuloga kwanza then unapigwa ban
ndetichia like this
Sasa wanakuroga unakuweje? Sayansi hii imeingia hadi humu? Mtaalamu lazima awe Paw tu du!