Am 24 na my girl 21
Nampenda na cna mashaka juu ya mapenz yangu kwake. Nimejiuliza mara nying kikaona kiukweli nampenda mzur sana hasa tabia. Tatizo yupo serous anataka ndoa huwa tuna shindanaga kwa hoja kama nimuoe au tusubiri mara zote ananishinda mambo mengi ya msingi yametimia. Ila mi nina wasiwasi mkubwa na umri wetu labda kuna vitu inabidi tujifunze kwa kusubiri umri upite kidogo, nina hofu may be hatuijui ndoa. Am so afraid help plz ctaki kukosea kwan nampenda.
Nampenda na cna mashaka juu ya mapenz yangu kwake. Nimejiuliza mara nying kikaona kiukweli nampenda mzur sana hasa tabia. Tatizo yupo serous anataka ndoa huwa tuna shindanaga kwa hoja kama nimuoe au tusubiri mara zote ananishinda mambo mengi ya msingi yametimia. Ila mi nina wasiwasi mkubwa na umri wetu labda kuna vitu inabidi tujifunze kwa kusubiri umri upite kidogo, nina hofu may be hatuijui ndoa. Am so afraid help plz ctaki kukosea kwan nampenda.