Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,377
Shetani
uitwe mmbea mara mbili? maana wewe ni mmbea balaa? bujibuji mchezo....
Buji,kama unampenda utamlinda,kumwambia live ni ngumu ila hii njia ya afroD iko sahihi sana!!sio umbea ila hata mungu atakupa thawabu,sithani kama utakuwa na amani maishani mwako rafiki yako huyo baadaye akakuambia HIV inammaliza na hajui kaipata wapi lakini wewe utakuwa unajua!!Simple
Mchukue huyo rafiki yako kaa nae
Hapo .. kunyweni kuleni chekeni..
Bibie akijitokeza mwache ye ajionee mwenyewe.. then hapo hautakuwa mmbea..
Bali utakuwa wa A _town / Manyara ..karibu.
<br />Mmmh mbona mkali? Au ndio wewe nini mwenye hako kasharobaro?
<br />mind your own business. Ikiwezekana hama bar
na wewe una mashoste? Hii kaliAah Buji, umekuwa mmbea kama mimi kwa shoste wangu eeh! Nafuatilia ushauri kwa karibu, ila sidhani kama naweza kumdunda mwizi wa shostito wangu!
watauwana hao jamani loh.mwambie jamaa live then mpeleke akashuhudie uhondo wa pressure................huh
<br />Buji si mtu wa aina hiyo..komandoo akimbie vita vya kokoto?..aidha wahame wao.<br /><br />
<br />
Huo ndio ushauri murua, usimwambie ila panga mipango ajionee mwenyeweSimple
Mchukue huyo rafiki yako kaa nae
Hapo .. kunyweni kuleni chekeni..
Bibie akijitokeza mwache ye ajionee mwenyewe.. then hapo hautakuwa mmbea..
Bali utakuwa wa A _town / Manyara ..karibu.
Rafiki yangu alifunga ndoa miezi miwili iliyopita na mchumba wake wa siku nyingi.
Kutokana na ukali wa foleni huwa ninakuwepo maeneo ya mjini nikipata moja baridi, moja vuguvugu na nyingine moto.
Kila siku huwa namuona huyu shemeji yangu akiwana na kasharobaro kamoja kenye kuvaa milegezo huku wakinyweshana pombe, denda kidogo na kutomasana kwa fujo.
Natamani kumwambia mumewe licha ya kuwa naumia moyoni.
Najua nikimwambia mumewe nitaharibu uhusiano wao, na siku wakipatana wataniita M'MBEA.
JE NIFANYEJE?
<br />Unauliza ufanyeje wakati usha mwaga umbea JF? sasa kama si umbea huu ni nini? Unanchekesha!