Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 36,207
- 71,745
Ameshuhudia mpk mecchi ya simba 1985 hivyo ni mzee mpe shikamooJamaa unaongea takataka sana yaani...hv una familia mkuu??
Ameshuhudia mpk mecchi ya simba 1985 hivyo ni mzee mpe shikamooJamaa unaongea takataka sana yaani...hv una familia mkuu??
Kabisaaaaa!!! Chama kumlinganisha na takataka nyingine kama hiyo ni kumkosea adabu na kuudharirisha mpira wa TZ.huu mjadala uishe
kuna mtu anaonewa bila sababu
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu huwa nakuheshimu sana
Wewe ni mmoja wa member nimefuatilia threads zako nyingi nikatambua upo smart kichwani
Sasa mbona maneno ya vijiweni yanakuharibu