min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,263
- 127,198
Sijanywa mda kigodo bwashee, nipo kibaruani tu 🤗Bwashee ,usiku huu upo macho kaka ,bila shaka uko kushusha mitungi
Sijanywa mda kigodo bwashee, nipo kibaruani tu 🤗Bwashee ,usiku huu upo macho kaka ,bila shaka uko kushusha mitungi
Sawa sawa ,bwashe piga kazi kakaSijanywa mda kigodo bwashee, nipo kibaruani tu 🤗
Jinsi kivipNipo kitandani na mke wangu ila kuna kitu kimenistua. Baada ya kustuka usingizini mke akaamka kumkojolesha mtoto.
Cha ajabu imenichukua dk kama 10 kukumbuka jinsi la mtoto wangu ana miaka 2
Hii ni hali ya kawaida au maana nilijaribu kukumbuka ila kumbukumbu zikanigomea kwa haraka nikashindwa kukumbuka.
Ila kwa sasa nimeshalikumbuka kina.
Mwanangu anaitwa catherine
Mmh🥺 imekuwajeNipo kitandani na mke wangu ila kuna kitu kimenistua. Baada ya kustuka usingizini mke akaamka kumkojolesha mtoto.
Cha ajabu imenichukua dk kama 10 kukumbuka jinsi la mtoto wangu ana miaka 2
Hii ni hali ya kawaida au maana nilijaribu kukumbuka ila kumbukumbu zikanigomea kwa haraka nikashindwa kukumbuka.
Ila kwa sasa nimeshalikumbuka kina.
Mwanangu anaitwa catherine
Haswaaaa23 Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.
1 Timotheo 5:23
👍🏾👍🏾✅✅
Mh mnaringa sana nyie wenye watu ndani ,hapo ni wewe kuichapa au kuiacha .Nimetoka nacheki UEFA pub ndio nafika home hivi. Nawaza sijui niamshe mtu nipige kimoko ndo nilale au nikaushe tuu!
😀 Morning glory...!Mh mnaringa sana nyie wenye watu ndani ,hapo ni wewe kuichapa au kuiacha .
Na mimi nasubiri ifike saa kumi kuna kaajira mpya toka saa tano kamelala utadhani hii kazi ya baba yake ,ikifika nikasomeshe nione kama na mimi kutakucha nikiwa nimebahatika kuloweka
Yap ili nipate nguvu za kukimbia asubuhi😀 Morning glory...!
Mimi kuna siku niliokota embe chini ya mnazi! Ilikuwa kama zali la mentali tuu, maana ndio nilikuwa natoka shift saa sita kasoro usiku!Mh mnaringa sana nyie wenye watu ndani ,hapo ni wewe kuichapa au kuiacha .
Na mimi nasubiri ifike saa kumi kuna kaajira mpya toka saa tano kamelala utadhani hii kazi ya baba yake ,ikifika nikasomeshe nione kama na mimi kutakucha nikiwa nimebahatika kuloweka
Niko macho mazingira ya huzuni kwa kuondokewa na Mke wangu kipenzi😭😭😭 RIP mama watoto wangu.Nani yuko macho muda huu
Katika mazingira gani
Ya furaha?
Ya huzuni?
Ya dharura?
Ya sintofahamu
Hospital au nyumbani?
Gesti ama safarini?
Peke yako ama?
Dahh pole sana mkuu🥺Niko macho mazingira ya huzuni kwa kuondokewa na Mke wangu kipenzi😭😭😭 RIP mama watoto wangu.
Bora usingeisema mkuu! Nakuonea huruma sana! Pole mkuu!Niko macho mazingira ya huzuni kwa kuondokewa na Mke wangu kipenzi😭😭😭 RIP mama watoto wangu.
Dah hatari kweli kweli kakaMimi kuna siku niliokota embe chini ya mnazi! Ilikuwa kama zali la mentali tuu, maana ndio nilikuwa natoka shift saa sita kasoro usiku!
Cha ajabu nilipoloweka haikulowana! Kumbe siku hizi kuna new model zinakaa hukohuko😂