Nani yuko nyuma ya Mkataba wa TFF na GSM, kwanini TFF wanazuia usijadiliwe wala kuhojiwa?

Baada ya Malalamiko mengi ya Wadau kuhusu GSM kuwa na Udhamini wa Timu zaidi ya Sita kwenye Ligi ya NBC, na kufanya Mpira wetu kuwa na sintofahamu kwa sababu GSM pia ndiyo mdhamini wa timu ya Yanga.

baada ya Viongozi sa Simba kuhoji hilo Kwa TFF, TFF imekuja na Jibu kwamba hakuna anayeruhusiwa kuhoji kuhusu Mkataba huo.

Je, hii ni sahihi kwa mustakabali wa Ufanisi wa Soka letu?

Inawezekanaje Mdhamini wa Ligi awe ndo Mdhamini wa Timu Ndani ya Ligi na adhamini timu zaidi ya Mbili na ukihoji unatisihiwa kuchukuliwa hatua.

Wananchi tushtuke.

PIa soma


View attachment 2932503
Tafuta Hela mamayer zako
 
Hapa ndipo ninapompa heshima Mzee Rage kuwa mashabiki wa Simba ni mbumbumbu, yaani badala ya kushughulikia matatizo ya uongozi na timu yenu mbovu mnahangaika na mkataba wa GSM,ndio wakina Mangungu wanawafanyia watakavyo.
Kwanini usimpe heshima Haji Manara aliyesema kwenu wote ni matahira kasoro wawili tu, baba yake na mzee JK? Kuna mkataba gani usiohojiwa? Kwa maslahi yapi? Unaposema timu ni mbovu umetumia kigezo gani? Ipo nafasi ya ngapi kwenye msimamo waligi? Na wewe ulitaka iwe nafasi ya ngapi?

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Timu za Tanzania zina hali ngumu sana kiuchumi kwa ligi ya Tanzania inahitaji wawekezaji a.k.a masponsor wengi

Unawakataa gsm wasidhamini timu unajua hali ya uchumi ya timu ndogo tusiwe tunaongea kishabiki
Kwani wamelazimishwa kucheza? By the way, hatujakataa kudhaminiwa tunachohoji mdhamini wa timu ya Yanga kwanini awe mdhamini wa timu nyingine? Huoni ni rahisi kupanga au kuamua matokeo zitakapokutana na Yanga au mpinzani wa Yanga?

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Kwani huo.Mkataba una nini?wakiutolea.ufafanuzi tukajua vipengele vyake
Wewe unaohoji kama nani? Au unaona kuna uwezekanano wa Liverpool kuhoji mkataba wa FA na Emirates? Au maana ya mkataba baina ya pande mbili zinakupiga chenga.
 
Kwani wamelazimishwa kucheza? By the way, hatujakataa kudhaminiwa tunachohoji mdhamini wa timu ya Yanga kwanini awe mdhamini wa timu nyingine? Huoni ni rahisi kupanga au kuamua matokeo zitakapokutana na Yanga au mpinzani wa Yanga?

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Kama hakuna sheria inayoizuia mdhamini mmoja kudhamini timu zaidi ya 10 badi hakuna shida, tofauti na hapo Pereka pendekezo la kuifanyia sheria marekebisho tofauti na hapo unakosa hoja.
 
Mkataba wa Yanga na sportspesa unajuwa vifungu vyake vyote?
Unaujua mkataba wa NBC na Bodi ya Ligi au TFF?
Umeuona mkataba wa Azam na TFF?
Jamaa anaonesha kuwa anayoufahamu afifu juu ya maana ya neno mkataba.
 
Baada ya Malalamiko mengi ya Wadau kuhusu GSM kuwa na Udhamini wa Timu zaidi ya Sita kwenye Ligi ya NBC, na kufanya Mpira wetu kuwa na sintofahamu kwa sababu GSM pia ndiyo mdhamini wa timu ya Yanga.

baada ya Viongozi sa Simba kuhoji hilo Kwa TFF, TFF imekuja na Jibu kwamba hakuna anayeruhusiwa kuhoji kuhusu Mkataba huo.

Je, hii ni sahihi kwa mustakabali wa Ufanisi wa Soka letu?

Inawezekanaje Mdhamini wa Ligi awe ndo Mdhamini wa Timu Ndani ya Ligi na adhamini timu zaidi ya Mbili na ukihoji unatisihiwa kuchukuliwa hatua.

Wananchi tushtuke.

PIa soma


View attachment 2932503

2021????
 
Baada ya Malalamiko mengi ya Wadau kuhusu GSM kuwa na Udhamini wa Timu zaidi ya Sita kwenye Ligi ya NBC, na kufanya Mpira wetu kuwa na sintofahamu kwa sababu GSM pia ndiyo mdhamini wa timu ya Yanga.

baada ya Viongozi sa Simba kuhoji hilo Kwa TFF, TFF imekuja na Jibu kwamba hakuna anayeruhusiwa kuhoji kuhusu Mkataba huo.

Je, hii ni sahihi kwa mustakabali wa Ufanisi wa Soka letu?

Inawezekanaje Mdhamini wa Ligi awe ndo Mdhamini wa Timu Ndani ya Ligi na adhamini timu zaidi ya Mbili na ukihoji unatisihiwa kuchukuliwa hatua.

Wananchi tushtuke.

PIa soma


View attachment 2932503
Mkataba huu sio kwamba ulipaswa Kuisha November 2023?
 
Back
Top Bottom