DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,610
- 17,839
- Thread starter
- #61
Wangeshurikishwa nadhani wasingekuja juuWakati wanaingia mkataba hawakushirikishwa!?
Wangeshurikishwa nadhani wasingekuja juuWakati wanaingia mkataba hawakushirikishwa!?
Sasa wanakuja juu kwa mkataba upi kama hawajashirikishwa!?Wangeshurikishwa nadhani wasingekuja juu
Tafuta Hela mamayer zakoBaada ya Malalamiko mengi ya Wadau kuhusu GSM kuwa na Udhamini wa Timu zaidi ya Sita kwenye Ligi ya NBC, na kufanya Mpira wetu kuwa na sintofahamu kwa sababu GSM pia ndiyo mdhamini wa timu ya Yanga.
baada ya Viongozi sa Simba kuhoji hilo Kwa TFF, TFF imekuja na Jibu kwamba hakuna anayeruhusiwa kuhoji kuhusu Mkataba huo.
Je, hii ni sahihi kwa mustakabali wa Ufanisi wa Soka letu?
Inawezekanaje Mdhamini wa Ligi awe ndo Mdhamini wa Timu Ndani ya Ligi na adhamini timu zaidi ya Mbili na ukihoji unatisihiwa kuchukuliwa hatua.
Wananchi tushtuke.
PIa soma
Mashabiki wa Simba wamehamia kwenye kumshutumu GSM kudhamini timu zaidi ya 6
Kuna upepo hivi sasaa unasambaa kama moto wa petrol kuwa inakuwaje kwenye ligi moja mdhamini aweze kudhamini timu 6 kwenye ligi moja? Kwa maana hiyo hizi timu ndogo zinazodhaminiwa na GSM zinaipa yanga matokeo ya bure kwa sababu tu zinatokana na mdhamini kuwa mmoja. Swali la kujiuliza je SIMBA...www.jamiiforums.com
View attachment 2932503
Watu wenye roho ya kimaskini wana taabu sana,tajiri namba moja Afrika Mashariki anakosaje ubavu wa kudhamini halafu tajiri asiye hata kwenye kumi bora aweze?Hawezi kudhamini, hana ubavu huo.
Kwanini usimpe heshima Haji Manara aliyesema kwenu wote ni matahira kasoro wawili tu, baba yake na mzee JK? Kuna mkataba gani usiohojiwa? Kwa maslahi yapi? Unaposema timu ni mbovu umetumia kigezo gani? Ipo nafasi ya ngapi kwenye msimamo waligi? Na wewe ulitaka iwe nafasi ya ngapi?Hapa ndipo ninapompa heshima Mzee Rage kuwa mashabiki wa Simba ni mbumbumbu, yaani badala ya kushughulikia matatizo ya uongozi na timu yenu mbovu mnahangaika na mkataba wa GSM,ndio wakina Mangungu wanawafanyia watakavyo.
Kwani wamelazimishwa kucheza? By the way, hatujakataa kudhaminiwa tunachohoji mdhamini wa timu ya Yanga kwanini awe mdhamini wa timu nyingine? Huoni ni rahisi kupanga au kuamua matokeo zitakapokutana na Yanga au mpinzani wa Yanga?Timu za Tanzania zina hali ngumu sana kiuchumi kwa ligi ya Tanzania inahitaji wawekezaji a.k.a masponsor wengi
Unawakataa gsm wasidhamini timu unajua hali ya uchumi ya timu ndogo tusiwe tunaongea kishabiki
Hawezi, anajielewa sana yule. Na kama ni hivyo angeshafanya hivyo siku nyingi sanaHivi kwa mfano MO angedhamini Mngesema hivyo???
Wewe unaohoji kama nani? Au unaona kuna uwezekanano wa Liverpool kuhoji mkataba wa FA na Emirates? Au maana ya mkataba baina ya pande mbili zinakupiga chenga.Kwani huo.Mkataba una nini?wakiutolea.ufafanuzi tukajua vipengele vyake
Kama hakuna sheria inayoizuia mdhamini mmoja kudhamini timu zaidi ya 10 badi hakuna shida, tofauti na hapo Pereka pendekezo la kuifanyia sheria marekebisho tofauti na hapo unakosa hoja.Kwani wamelazimishwa kucheza? By the way, hatujakataa kudhaminiwa tunachohoji mdhamini wa timu ya Yanga kwanini awe mdhamini wa timu nyingine? Huoni ni rahisi kupanga au kuamua matokeo zitakapokutana na Yanga au mpinzani wa Yanga?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Nani kamzuia,wakati Sportpesa anadhamini timu 4 mbona mlikuwa kimyaHivi kwa mfano MO angedhamini Mngesema hivyo???
Hela Ipi mkuu sijaelewa Mada iliyowekwa na ulichojibuTafuta Hela mamayer zako
Jamaa anaonesha kuwa anayoufahamu afifu juu ya maana ya neno mkataba.Mkataba wa Yanga na sportspesa unajuwa vifungu vyake vyote?
Unaujua mkataba wa NBC na Bodi ya Ligi au TFF?
Umeuona mkataba wa Azam na TFF?
Jiulize halafu tafakari.Watu wenye roho ya kimaskini wana taabu sana,tajiri namba moja Afrika Mashariki anakosaje ubavu wa kudhamini halafu tajiri asiye hata kwenye kumi bora aweze?
Mkuu Mo huyu huyu na ubahili wote ule ? Au Mo gani ? Kwani nyie mnataka kujua nini based on what subject au base line ? Mkishajua indepth ya mikataba ya part mbili ambazo hazihusiani na simba mtapata faida gani ?Hivi kwa mfano MO angedhamini Mngesema hivyo???
Baada ya Malalamiko mengi ya Wadau kuhusu GSM kuwa na Udhamini wa Timu zaidi ya Sita kwenye Ligi ya NBC, na kufanya Mpira wetu kuwa na sintofahamu kwa sababu GSM pia ndiyo mdhamini wa timu ya Yanga.
baada ya Viongozi sa Simba kuhoji hilo Kwa TFF, TFF imekuja na Jibu kwamba hakuna anayeruhusiwa kuhoji kuhusu Mkataba huo.
Je, hii ni sahihi kwa mustakabali wa Ufanisi wa Soka letu?
Inawezekanaje Mdhamini wa Ligi awe ndo Mdhamini wa Timu Ndani ya Ligi na adhamini timu zaidi ya Mbili na ukihoji unatisihiwa kuchukuliwa hatua.
Wananchi tushtuke.
PIa soma
Mashabiki wa Simba wamehamia kwenye kumshutumu GSM kudhamini timu zaidi ya 6
Kuna upepo hivi sasaa unasambaa kama moto wa petrol kuwa inakuwaje kwenye ligi moja mdhamini aweze kudhamini timu 6 kwenye ligi moja? Kwa maana hiyo hizi timu ndogo zinazodhaminiwa na GSM zinaipa yanga matokeo ya bure kwa sababu tu zinatokana na mdhamini kuwa mmoja. Swali la kujiuliza je SIMBA...www.jamiiforums.com
View attachment 2932503
Mkataba huu sio kwamba ulipaswa Kuisha November 2023?Baada ya Malalamiko mengi ya Wadau kuhusu GSM kuwa na Udhamini wa Timu zaidi ya Sita kwenye Ligi ya NBC, na kufanya Mpira wetu kuwa na sintofahamu kwa sababu GSM pia ndiyo mdhamini wa timu ya Yanga.
baada ya Viongozi sa Simba kuhoji hilo Kwa TFF, TFF imekuja na Jibu kwamba hakuna anayeruhusiwa kuhoji kuhusu Mkataba huo.
Je, hii ni sahihi kwa mustakabali wa Ufanisi wa Soka letu?
Inawezekanaje Mdhamini wa Ligi awe ndo Mdhamini wa Timu Ndani ya Ligi na adhamini timu zaidi ya Mbili na ukihoji unatisihiwa kuchukuliwa hatua.
Wananchi tushtuke.
PIa soma
Mashabiki wa Simba wamehamia kwenye kumshutumu GSM kudhamini timu zaidi ya 6
Kuna upepo hivi sasaa unasambaa kama moto wa petrol kuwa inakuwaje kwenye ligi moja mdhamini aweze kudhamini timu 6 kwenye ligi moja? Kwa maana hiyo hizi timu ndogo zinazodhaminiwa na GSM zinaipa yanga matokeo ya bure kwa sababu tu zinatokana na mdhamini kuwa mmoja. Swali la kujiuliza je SIMBA...www.jamiiforums.com
View attachment 2932503
Kasome sheria uelewe kwanini mkataba unahusisha pande 2!Kwani huo.Mkataba una nini?wakiutolea.ufafanuzi tukajua vipengele vyake