Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Huku msidhani nimewakimbia@farkhina lile dili lakuuza zile ngoma za voda jamaa wamenistukia siunajua nilishaanza kuzishusha sasa natafutwa bily ulinipa dili lakuuza Malawi na Zambia sasa mwenzenu kibarua sina tena,ndio maana huku siingii jamaa watanikamata Jerrymsigwa usione kimya ila my dia wangu mimi49 anajua mkasa huu wote hata Rugebwe79 alimuhadithia pia
 
Last edited by a moderator:
Huku msidhani nimewakimbia@farkhina lile dili lakuuza zile ngoma za voda jamaa wamenistukia siunajua nilishaanza kuzishusha sasa natafutwa bily ulinipa dili lakuuza Malawi na Zambia sasa mwenzenu kibarua sina tena,ndio maana huku siingii jamaa watanikamata Jerrymsigwa usione kimya ila my dia wangu mimi49 anajua mkasa huu wote hata Rugebwe79 alimuhadithia pia

Haya boss we fanya mambo xmas ndio hiyoooo bado wiki tu
 
Last edited by a moderator:
nshakaguliwa na babu Asprin....Huko kwako we najisajili nini tena???:A S 39:
Mjukuu, bado unaitafuta njia ya kwenda motoni??

Ulishakaguliwa, fanya kazi yako mama. Mie nathibitisha uko salama bila kujali chochote. Hongera mjukuu mwema, wewe u mwadilifu sana.

Ndio, nimesema mimi babu.
 
Mjukuu, bado unaitafuta njia ya kwenda motoni??

Ulishakaguliwa, fanya kazi yako mama. Mie nathibitisha uko salama bila kujali chochote. Hongera mjukuu mwema, wewe u mwadilifu sana.

Ndio, nimesema mimi babu.
babu hujalala tu bado?
 
Back
Top Bottom