Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Haya kapige zoez sasa upunguze fat

Haya bwana wacha nichangamkie fursa...nipate vijisenti vya kuhudhuria jf get together party.....
Uwe na siku njema...na TEAM popo wote...leo nahamia zamu ya mchana.
 
Last edited by a moderator:
nshakaguliwa na babu Asprin....Huko kwako we najisajili nini tena???:A S 39:

Ewaaa.... hatua ya kwanza tayari... sasa mbona naskia watu wanajinasibisha na wewe ilhali sijawahi sajili ndoa yako..!?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom