Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Duh ukiwa mdada aisee na hizi social network hahahaha.....mi pm yangu ina ziro text

Yaan acha kabisa.... Naona tu alert "New PM" kila nikitaka kufungua inaniambia "Delete some PM" kwa vile natumia simu siwezi.....

Hebu ngoja nikaswali Adhana hiyoo... Badae!!
 
Yaan acha kabisa.... Naona tu alert "New PM" kila nikitaka kufungua inaniambia "Delete some PM" kwa vile natumia simu siwezi.....

Hebu ngoja nikaswali Adhana hiyoo... Badae!!

Poa poa, asbh njema kwako na utuswalie sisi watenda madhambi
 
ngoja tu walale, hata hivo wamejitahidi kulinda kwa siku kadhaa. mambo jerry?
 
Back
Top Bottom