Nani yuko macho tupige stori?

Nadhani watakuwa wamelala na viatu,zile taarab na miduara ilikuwa balaa,na maji yenyewe yamekatika sijui hata kama wameoga pia😀😀😀

Hahahahaha kumbe ulikua wapiga chabo...basi vumbi hili na taarabu kama tumevaa soksi lol....
 
Hahahaha shoga angu tangu mda ule bado warusha roho😱😱😱😱😱

Hivi namuonea haya tu huyu jerrymsigwa la sivyo ningeshasasambura.....
Mduara umenoga shosti.....
 
Hivi namuonea haya tu huyu jerrymsigwa la sivyo ningeshasasambura.....
Mduara umenoga shosti.....

Kumbe Mimi hunionei aibu sio? Jerrymsigwa kishapaki gari sasambua mwali wee tuone
 
Hahaha toba weee usisasambue...

Shosti wazo kusasambura tena basi naona jinsia me zinaongezeka humu...
Na haya manjonjo ya mduara nayo nipunguze naona wameingia wenye heshima zao....wapi zilipendwa nicheze bila kutoka jasho mie.....
 
Tobaa kumbe mpo wengi....hebu niache haya mauno viuno...nijitafutie kina kasuku na rangi ya chungwa kutunza heshima yangu.....

Tushakufaidi sana tu bora uendelee tu kusasambua
 
NishaAcha mduara saa hizi...
Niko bussy na " najitulizaa kwake kasukuu yoyo...hataki maneno......."

Kweli leo umekomaa na jf simchezo mpaka walinda vitasa wenzangu wamekuacha farkhina@Jerrymsigwa@rugebwe78@mimi@bily
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…