Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

tupo macho farhina ,mbona hatuonani siku hizi?njoo pm bhanaaa
 

Yes kanitumia sms nimfuate
Daa mm sijalala hadi sasa nasubilia kitundu. Wewe mwenzangu vipi!!
Mi mwenzio ni popo tuu najikutaga hata with no reason nalala sa kumi
Hahaha
Wewe endelea kusubiri tobo dundo
 
  • Thanks
Reactions: jmi
Back
Top Bottom