Nani yuko macho tupige stori?

Nani yuko macho tupige stori?

Hahahaa mitaa yangu hiyo mkuu karibu tena!
Siku hizi kunaendelea vizuri mabasi yapo aisee!

Dah kulikuwa na ngoma pale isongole hasa wale madada wa sec waliopanga geto, mnada wa wamalawi jmosi dah ileje!!
 


Weee mie saivi noo na wewe, nasaka mpyaaa! We expensive sana, watu macho kodoo wanakuangalia wewe tu naogopa bastola mie

nawewe chukua mkuki wakwanza wa kwanza tu

Te te teee ❤️ama? Yule jamaa wa usiku mmeshaachana?

..naanza kubadili mawazo..ebu endelea kidogo naeza fikiria idea yako copy n paste diamond & wema 😜


love unasemaje?
Tuko umeona afadhali uliachia ngazi mahusiano ni machanga but yanamashaka hawaamianiani kabisa jerry anaogopa gharama lol
 
Last edited by a moderator:
Unapenda Katengele wewe!!!
hizi wala hutaki kwenda huko Luswisi, Bupigu, Kafule, Isongole, Itale, Lubanda, Malangali, Mbebe, Ndola, Ngulilo na Ngulugulu.
CC: IGWE na Ileje mwenyewe

aisee leo nimetembelea vijiji vingi hadi kwa yule babu wa daraja la Mungu ni noumer!!!!!!!!! Daaah nikiondoka nitapamis sana...... Keshokutwa narudi Chuga aisee!
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu hapa kweli? Naona geti liko wazi sioni watu,mziki uko juu. Sijui wameenda wapi hawa
 
Back
Top Bottom